Msaada wa haraka unahitajika kuhusu ujauzito wangu

2sexy

JF-Expert Member
Oct 3, 2020
647
1,348
Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa

Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu.

Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35.

Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg

Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .

Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia

Naombeni ushauri wenu.

Ahsanteni
 
Huyu doctor hakukushauri la kufanya ili uwe salama zaidi?
Kanishauri kuzingatia kula vizuri tuu
Nimekuja humu ili kupata experience kwa wale waliopitia changamoto hii walifanyaje kwa natokeo ya haraka
 
unaamin zaid madokita wa humu ndani kuliko uyo atakae kuzalisha,,oke oke

Muulze ye mwenyewe
 
Kanishauri kuzingatia kula vizuri tuu
Nimekuja humu ili kupata experience kwa wale waliopitia changamoto hii walifanyaje kwa natokeo ya haraka
Tatizo kubwa ultra soud za hapa aziko accurate au sahihi wanacho fuata ni pesa, alisha wahi kushauri mke wangu eti atajifungua wiki 6 bado, wakati mimi ni medical practitioner, na nili mhesabia tangu mwanzo pamoja nakua mbali nae nili mshauri alale hospitali kuu hiyo siku akajifungua, dont trust muchine za bongo.
 
Tatizo kubwa ultra soud za hapa aziko acvurate au sahihi wanacho fuata ni pesa, alishawahi kushauri mke wangu eti atajifungua wiki 6 bado, wakati mimi ni medical, na nilimhesabia tangu mwanzo pamoja nakua mbali nae nilimshauri alale hospitali kuu hiyo siku akajifungua, dont trust muchine za bongo
Unachosema ni sahihi lakn kwa hili naweza kuamini majibu haya ya utrasound

Maana hata tumbo langu sio kubwa

Mwanzo nilidhani labda ndio maumbile yangu maana ndio uzazi wa kwanza
 
kwa uzito huo unazaa mtoto mzima tu.

ila yawezekana dokita wako kasema ivo labda uzito ulokuepo mwanzo n wa juu kuliko sasa so anahofia ukipungua zaid ya apo.

Note:fata ushaur wake.nukta
 
Unachosema ni sahihi lakn kwa hili naweza kuamini majibu haya ya utrasound
Maana hata tumbo langu sio kubwa
Mwanzo nilidhani labda ndio maumbile yangu maana ndio uzazi wa kwanza
Relaaaaax madamu,,mimi adi naenda kujifungua hakuna aliye amini tumbo lilikua dogo balaa.

mtoto altoka na 2.8.
 
Hatarishi ni kama akizaliwa chini 2.5Kg, na bado wengi wanakua vizuri tuu.

Possibly wako atazaliwa juu ya hiyo ya sasa.
Maana bado anakua.

Wewe usiwe na wasiwasi, kula vizuri, maji mengi na Baba mtu apige mzigo.
Namimi pia naamin atazaliwa juu ya huo uzito wa 2.5kg
Naomba Mungu anisimamie katika hili
 
Back
Top Bottom