2sexy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 647
- 1,348
Poleni na mihangaiko ya mchana kutwa
Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu.
Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35.
Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg
Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .
Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia
Naombeni ushauri wenu.
Ahsanteni
Ndugu Madaktari wa JF na wadau wote wa afya naomba msaada wenu.
Mimi ni mama mjamzito mimba yangu ina wiki 35.
Katika umri huu nimepima utra sound mtoto ana uzito wa kilo 2. 71kg
Swali langu kitu gani naweza kufanya kwa muda huu mchache uliobaki kuongeza uzito wa mtoto .
Maana Dr ananiambia kwa uzito huu ni hatarishi kwangu na mtoto pia
Naombeni ushauri wenu.
Ahsanteni