Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

nyore

Member
Jun 8, 2020
14
34
Mimi ni kijana (me) umri23-25. Kuna mkasa umenitokea hivi karibuni, unanifanya nifikrie kujizuru, nahitaji sana msaada wenu naumalizaje.

Nina ndugu yangu mtoto wa mtoto wa shangazi (mtoto wa binamu yangu bila shaka) yeye ni wakike, umri wake ni kama wangu.

Mwaka2020 kipindi nakuja chuo nilifikia kwa aunt (yeye kwa bibi yake) ndo tulipokutana, tulikaa pale tukiwa wote miezi kama miwili, yeye akaolewa, nikiwa mwaka wa pili me nikaenda kupanga, nilipopanga so mbali sana na aunt.

Sasa huyu mtoto wa binamu (mtoto wangu) mwezi miwili nyuma alikuja kwa aunt (yeye kwa bibi) kuja kusalimia, hakukaa sana akaondoka, mpaka anaondoka nilikuwa nimeonana nae mara moja tu, Kuna siku nilienda kuwasalimia baada ya hapo nikawa bize na kazi coz kazini kwetu tunapumzika mara moja kwa week so mda mwingi nipo bize.

Mkasa unaanzia hapa; ilikuwa jumatatu mchana nikiwa kazini, inaingia message namba ni ngeni, charting zikawa kama ifuatavyo;

No ngeni: Mambo
Mimi: Pouw nani mwenzangu
No ngeni: Me linah (sio jina lake nmeamua kumpa hilo jina kuficha identity)
Me: Za siku
Linah: Nzuri tu
Me: Mbona uliindoka kimya kimya hata hatujapata muda wa kuzungumza, tukaishia kuonana mara moja tu
Linah: Usijari mwezi wa6 nitarudi tena, vipi ulifurahi?
Me: Ndio nilifurahi kukuona
Linah: Mwezi wa6 nitakuja, utaenjoy zaidi, nitakupa na mapenzi
Me: (moyo ukagonga kidogo) ulikuwa wapi siku zote kunipa na nimekaa na wewe kwa aunt miezi mingi hivyo.
Linah: Hakijaharibika kitu, kwani unanipenda eee?
Me: Nakupenda sana, tangu kipindi hicho tunaishi kwa aunt
Linah: Mbona hukuwahi kuniambia
Me: Niliogopa ungenikataa ingekuwaje

Kufupisha story, mwanaume nikajikuta najaa + kumsifia, hadi kumuomba mwezi6 akija so mbaya akafikia kwangu coz nina mpango wa kuhama nilipopanga naenda kukaa mbali kidogo. Wakati huo nikawa napata machali flani nikaanza kuhisi kama mtego, ikabidi nimpigie simu kuhakiki ni yeye kweli au, nilipopiga kweli alipokea yeye tukasalimiana baadae nikakata simu, baada tu ya kukata simu akanitumia sms akaniuliza " Kwa hiyo ulikuwa huamini? Nikajibu ndio.

Dk chache nikapigiwa simu, kupokea ni yeye analia na kunitukana, tangu lini Mimi na yeye tunamahusiano + nimechart nini na mume wake, ugomvi ushakuwa mkubwa, nikamuomba niongee na mumewe, jamaa akachukua simu akaanza kutukana sana na kunifokea, me ikabidi niwe mpole + excuse nyingi, kwamba me nilichukulia mzaha kwani siwezi kufanya hivyo, jamaa akaniambia kuanzia Leo nifute namba yake na nisiwasiliane nae tena, tukawa tumeishia hapo.

Juzi nikiwa kazini, nikapigiwa simu na shemeji (mke wa baba yake mdogo binti), ni kutukanwa nimefanya nini, ndoa ya watu ipo matatani na mambo kadha wa kadha, nikamuomba anitumie namba ya mkwilima coz nilikuwa nishaifuta, ili niongee nae tena kwa mara nyingine, kweli nikampigia jamaa, alichoniambia niwe na amani yeye akisamehe kasamehe na kwamba keshanisamehe, ila kikubwa nifute namba ya mkewe na nisithubutu kumpigia, basi ikawa hivyo.

Shida bado sijajuwa kama msamaha wake alimaanisha au Kuna jambo linaandaliwa manake hadi sasa mambo ndani hayapo swali.

Naogopa sana, haya mambo yakifika mbali kwa wazazi na ndugu wengine, sina amani kabisa, naogopa hata kupokea simu za ndugu, familia na ukoo wetu misimamo ni mikali, na huwaga hawasahau, nitaficha wapi sura yangu, nimechukua sick sheet, nashinda ndani tu nawaza hadi kujidhuru.

Naombeni USHAURI wenu ndugu zangu. Nisaidie huu msala ushaisha kama jamaa anavyodai au bado anafikiria cha kufanya, na naumaliza vipi.
 
Pole bro, yote hutokea kwa sababu. So be strong, ushahidi wa kwanza tunza sana hizo sms za charting za mwanzo then washirikishe wazazi wako kabla ya wao hawajakutafuta. Anza na mama kama yupo then mzee I think watakuelewa tu usifiche kitu, na waambie kuwa kwakoilikuwa kamajambo la mzaha tu.
Pole
 
FB_IMG_1712680159582.jpg
 
woooi kama hukufanya wasiwasi wa nini, hata usipate stress ye apambane na ndoa yake we endelea na maisha yako ila kama ulikula mzigo basi jiandae tu
Sijawahi kufanya ndugu yangu, na hata namba yake baada ya kuolewa sikuwa nayo kabisa. Ndo siku hiyo ya kwanza kuwasiliana nae na yeye ndo aliyenitafuta ndo ikawa hivi
 
Mimi ni kijana (me) umri23-25. Kuna mkasa umenitokea hivi karibuni, unanifanya nifikrie kujizuru, nahitaji sana msaada wenu naumalizaje.

Nina ndugu yangu mtoto wa mtoto wa shangazi (mtoto wa binamu yangu bila shaka) yeye ni wakike, umri wake ni kama wangu.

Mwaka2020 kipindi nakuja chuo nilifikia kwa aunt (yeye kwa bibi yake) ndo tulipokutana, tulikaa pale tukiwa wote miezi kama miwili, yeye akaolewa, nikiwa mwaka wa pili me nikaenda kupanga, nilipopanga so mbali sana na aunt.

Sasa huyu mtoto wa binamu (mtoto wangu) mwezi miwili nyuma alikuja kwa aunt (yeye kwa bibi) kuja kusalimia, hakukaa sana akaondoka, mpaka anaondoka nilikuwa nimeonana nae mara moja tu, Kuna siku nilienda kuwasalimia baada ya hapo nikawa bize na kazi coz kazini kwetu tunapumzika mara moja kwa week so mda mwingi nipo bize.

Mkasa unaanzia hapa; ilikuwa jumatatu mchana nikiwa kazini, inaingia message namba ni ngeni, charting zikawa kama ifuatavyo;

No ngeni: Mambo
Mimi: Pouw nani mwenzangu
No ngeni: Me linah (sio jina lake nmeamua kumpa hilo jina kuficha identity)
Me: Za siku
Linah: Nzuri tu
Me: Mbona uliindoka kimya kimya hata hatujapata muda wa kuzungumza, tukaishia kuonana mara moja tu
Linah: Usijari mwezi wa6 nitarudi tena, vipi ulifurahi?
Me: Ndio nilifurahi kukuona
Linah: Mwezi wa6 nitakuja, utaenjoy zaidi, nitakupa na mapenzi
Me: (moyo ukagonga kidogo) ulikuwa wapi siku zote kunipa na nimekaa na wewe kwa aunt miezi mingi hivyo.
Linah: Hakijaharibika kitu, kwani unanipenda eee?
Me: Nakupenda sana, tangu kipindi hicho tunaishi kwa aunt
Linah: Mbona hukuwahi kuniambia
Me: Niliogopa ungenikataa ingekuwaje

Kufupisha story, mwanaume nikajikuta najaa + kumsifia, hadi kumuomba mwezi6 akija so mbaya akafikia kwangu coz nina mpango wa kuhama nilipopanga naenda kukaa mbali kidogo. Wakati huo nikawa napata machali flani nikaanza kuhisi kama mtego, ikabidi nimpigie simu kuhakiki ni yeye kweli au, nilipopiga kweli alipokea yeye tukasalimiana baadae nikakata simu, baada tu ya kukata simu akanitumia sms akaniuliza " Kwa hiyo ulikuwa huamini? Nikajibu ndio.

Dk chache nikapigiwa simu, kupokea ni yeye analia na kunitukana, tangu lini Mimi na yeye tunamahusiano + nimechart nini na mume wake, ugomvi ushakuwa mkubwa, nikamuomba niongee na mumewe, jamaa akachukua simu akaanza kutukana sana na kunifokea, me ikabidi niwe mpole + excuse nyingi, kwamba me nilichukulia mzaha kwani siwezi kufanya hivyo, jamaa akaniambia kuanzia Leo nifute namba yake na nisiwasiliane nae tena, tukawa tumeishia hapo.

Juzi nikiwa kazini, nikapigiwa simu na shemeji (mke wa baba yake mdogo binti), ni kutukanwa nimefanya nini, ndoa ya watu ipo matatani na mambo kadha wa kadha, nikamuomba anitumie namba ya mkwilima coz nilikuwa nishaifuta, ili niongee nae tena kwa mara nyingine, kweli nikampigia jamaa, alichoniambia niwe na amani yeye akisamehe kasamehe na kwamba keshanisamehe, ila kikubwa nifute namba ya mkewe na nisithubutu kumpigia, basi ikawa hivyo.

Shida bado sijajuwa kama msamaha wake alimaanisha au Kuna jambo linaandaliwa manake hadi sasa mambo ndani hayapo swali.

Naogopa sana, haya mambo yakifika mbali kwa wazazi na ndugu wengine, sina amani kabisa, naogopa hata kupokea simu za ndugu, familia na ukoo wetu misimamo ni mikali, na huwaga hawasahau, nitaficha wapi sura yangu, nimechukua sick sheet, nashinda ndani tu nawaza hadi kujidhuru.

Naombeni USHAURI wenu ndugu zangu. Nisaidie huu msala ushaisha kama jamaa anavyodai au bado anafikiria cha kufanya, na naumaliza vipi.
Ngoja kwanza,,

kwa hiyo mwanaume ndio alichat na wewe akijifanya mwanamke? Kweli NOBODY CAN STOP REGGAE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom