Makox
Senior Member
- Jan 19, 2014
- 109
- 133
- Thread starter
- #61
Asante k
wa ushauri, nitaufanyia kazi mkuuIngependeza tukapata maelezo kutoka upande wa pili.
Kama ni kweli unachokisema basi ile kauli ya "Tenda wema nenda zako" inafanya kazi.
Nilichobaini kuna suala la "MAPENZI" kama sababu kuu.
Inawezekana uliingilia masilahi ya boss wako kwenye mapenzi.
Elewa jambo moja wanawake kiasili ni wasaliti na wanaweza kukuharibia muda wowote na mahali popote.
Tafuta huyo mwanamke mpange vizuri ila sidhani kama atakuelewa na akijua umeshafukuzwa na kazi ndiyo basi tena utaona kila aina ya rangi.
Hao watu 2 ie mama na mtoto ndiyo pekee wataweza kukuokoa na jinamizi hili wakili kabisa walirrubuniwa na mkuu kwa masilahi yake. Je itawezekana?
Wito: usimwamini mwanamke kwa chochote unachokifanya japo hata wanaume wanatabia za kike.