Au ndo mmeanza operesheni na CDF Muhoozi huko.......maana kadondoka karibu na mpaka wa Kenya na Uganda.....,ngoja afufuke uukwekeCDF huyo wa Kenya akiwa amepona Nakunya ( Naukweka ) kutoka hapa Kampala UG nilipo hadi Dar es Salaam TZ Oky?
Watano hao na huyo pichani ni mmoja?
Hapana Mikakati yetu zaidi ipo kwa nchi moja hivi ambayo ina Kiherehere sana na inajifanya ndiyo Mbabe wa EAC Block.Au ndo mmeanza operesheni na CDF Muhoozi huko.......maana kadondoka karibu na mpaka wa Kenya na Uganda.....,ngoja afufuke uukwekeView attachment 2967535
Mbinu za kimedani!View attachment 2967516
Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Luteni Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani.
Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa za awali zinadai ndege hiyo ya Kijeshi ilikuwa imebeba watu 9, na imewaka moto baada ya kudondoka hivyo kutilia hofu usalama wake.
Taarifa zaidi zitakujia hivi Punde.
Citizen TV
😅😅😅CDF huyo wa Kenya akiwa amepona Nakunya ( Naukweka ) kutoka hapa Kampala UG nilipo hadi Dar es Salaam TZ Oky?
Mijitu yenye Roho Mbaya, Mikatili, Mifashisti na Michawi utaijua tu. Stress za Maisha magumu zinawatesa mno Poleni Oky?Kama hajafariki sio habari.
Hebu mwenye history ya namna huyu Mkuu wa Majeshi alivyopanda cheo atuwekee humu. Nahisi alipata kama shukrani kutoka kwa William Rutto kwa mambo aliyomsaidia wakati wa uchaguziView attachment 2967516
Ndege iliyombeba Mkuu wa Majeshi ya Kenya (KDF) Luteni Jenerali Francis Ogolla imepata ajali muda mchache baada ya kuruka angani.
Bado Taarifa rasmi haijatolewa juu ya Usalama wao, lakini taarifa za awali zinadai ndege hiyo ya Kijeshi ilikuwa imebeba watu 9, na imewaka moto baada ya kudondoka hivyo kutilia hofu usalama wake.
Taarifa zaidi zitakujia hivi Punde.
Citizen TV
Tayari labdaWatano hao na huyo pichani ni mmoja?
Mbona hasira my siblingMijitu yenye Roho Mbaya, Mikatili, Mifashisti na Michawi utaijua tu. Stress za Maisha magumu zinawatesa mno Poleni Oky?
Nimelijibu hilo Lichawi Tukuka hapo juu.Mbona hasira my sibling
Hebu mwenye history ya namna huyu Mkuu wa Majeshi alivyopanda cheo atuwekee humu. Nahisi alipata kama shukrani kutoka kwa William Rutto kwa mambo aliyomsaidia wakati wa uchaguzi
Hapo unatamani kinoma angekua yeye• Kama imewaka moto basini, R. I. P,
• Kuna yule(........) anayependa kila saa yupo angani 🤒🤒!!