TANZIA Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (KDF) Jenerali Francis Ogolla afariki katika ajali ya Helikopta ya Jeshi

Mnatakiwa kuwahi kutoka kabla haijafika chini, it takes less than 1 min to reach the ground

Imagine hao ndio jeshi , hawana hata contingency plan ya kuchomoka kwenye dharura tena chini ya mkuu wa majeshi; shame


hawa wakuu wa majeshi huwa ni manguo tu but hawana cha maana

Africa ni shida , mkuu wa majeshi anapandishwa ndege isiyokuwa emergency rescue au. Contingency plan
Shame Africa

Watu mnapenda sana kulalamika. Ajali za ndege na helicopter kwa wanajeshi hutokea. Siyo Afrika tu, hata nje ya Afrika.
 
Cdf anakufaje kirahis hivyo? Mbona amekufa kikawaida sana namna hii, ? Hiki sio kifo cha ki cdf hata kidogo
 
Mnatakiwa kuwahi kutoka kabla haijafika chini, it takes less than 1 min to reach the ground

Imagine hao ndio jeshi , hawana hata contingency plan ya kuchomoka kwenye dharura tena chini ya mkuu wa majeshi; shame


hawa wakuu wa majeshi huwa ni manguo tu but hawana cha maana

Africa ni shida , mkuu wa majeshi anapandishwa ndege isiyokuwa emergency rescue au. Contingency plan
Shame Africa
Hata mimi nimeona aibu aisee.. hiv vifo vya kufa ma kuruta sio mbobevu wa mafunzo aliyepata trainning nchi kibao duniani. Just kuruka tu imekua shida maana kama haijapigwa bomu, lazima kuwe na some time baada ya technical failure ku indicate! Ima maana hata pilot hakuona shida before???

Au imepigwa bomu? Kama bomu sawa silaumu japo intelligence hapa inatakiwa kuwa held responsible
 
Back
Top Bottom