- Thread starter
- #41
Lazima uwe na wivu kwakitu usichokuwa nacho. Huu ni wasifu. Unatakakunipora??Hii kuandika Nina shahada sijui nn blahbla ni upuuzi
Lazima uwe na wivu kwakitu usichokuwa nacho. Huu ni wasifu. Unatakakunipora??Hii kuandika Nina shahada sijui nn blahbla ni upuuzi
Njoo 2, tuyajenge.Kujana habari yako.... vip kuna uelekeo, wanakuja PM?
Hivi huko mtaani umekosa mke mpka unakuja kutafuta huku JF siamini hii kituMimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Unique Flower To yeye Joannah mume kapatikana hukuMimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Kwan we hufai😎
jamaa atakuwa katelekezwa na watoto ni singofaza anatafta wa kumlelea"Mke anahitaji haraka"
Mzee unatafuta mke kama unaagiza beer vile, utajuta.
Uko tayari kukaa home na kulea watoto wenu kwa upendo huku ukimuachia mume akitimiza majukumu yake kuwatunza?Poor Brain NJOO nisaidie u jobless na kula Bure na kulala Bure kunanikosesha mume 😭😭😥😥😥
Nenda na wakati kaka/dada huwezi kuzuia uchumba wa kidigiti . Zama za baba / mama kukuletea mke/mume zimekwisha. Toka analogia njoo digiti.Hivi huko mtaani umekosa mke mpka unakuja kutafuta huku JF siamini hii kitu
Usihofu. Dawa ya moto ni moto na dawa ya upendo ni upendo.Ningekuja pm mkuu, sema unachamba sanaa mkali kama pilipili
Hao ambao wanajua tu kusoma na kuandika na wana kazi inayowaingizia kipato wamejaa tele pale kimboka. Mimi nilichukua mmoja paleMimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
hapana😂Kwan we hufai😎
Sio vizuri bhn mpeni matumaini mashangazihapana😂
Ndo utafute online?Nenda na wakati kaka/dada huwezi kuzuia uchumba wa kidigiti . Zama za baba / mama kukuletea mke/mume zimekwisha. Toka analogia njoo digiti.