Riskytaker
Senior Member
- Mar 14, 2024
- 140
- 610
Hii kuandika Nina shahada sijui nn blahbla ni upuuzi
Huwezi kuoa wa dini yeyote, labda muwe kwenye mkataba wa kiserikaliMimi ni:
Kujana: 35
Sija wahi kuoa:
Sina mtoto:
Mjasiria Mali:
Nina shahada ya kwanza.
Niko, Ilala, DSm.
Sina kitambi , mrefu wa wastani.
Dini : mkristo.
Sifa za mke mtarajiwa
Awe:
Mzima wa afya.
Na hofu ya Mungu.
Na Elimu angalau ya kujua kusoma na kuandika au zaidi.
Na kazi inayompatia kipato.
Dini yoyote ya kumcha Mungu.
Karibu sana Kwa aliyedhamiria( serious). PM
Ndo maaana nlimkataza demu wangu asijiunge jf
Mke na mume wanaleana, ulikuwa hujui??"Na kazi inayompatia kipato"
Ungesema tu unatafuta lishangazi la kukulea
Basi kubali wa mpapu kaziniMke na mume wanaleana, ulikuwa hujui??
😂😂😂😂😂😂😂 Wee nilikuambia nitafutie mshangazi huko dasalamu..Poor Brain NJOO nisaidie u jobless na kula Bure na kulala Bure kunanikosesha mume 😭😭😥😥😥
😁😁😁🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂 Wee nilikuambia nitafutie mshangazi huko dasalamu..
Then
Mi nakupa kazi hapa kwa kitongoji chap uandikishe wapiga kula...
Huyo mume utampatia huku huku 😂😂😂😂
Na ulivo cute hivo an ndo kabisa..
Kuhusu hofu ya Mungu wee ni 100%
We ukifika huku nkuhungu mbona mke wa mtu tayari 😂😂😂😂
Nini sasa ...au tayari deal done😁😁😁🤣🤣🤣
ila Mpaji Mungu kwamba tunataka kuolewa ko umetuona sisi ni age go mtaani hawatutaki😂😂We usisome comments hapa ukaamini, kina ahmelo watakua huko piem wanapambania fursa lakn hapa wanaponda
Njoo uthibishe mawazo yako. Kama unaweza kuwa na mawazo hayo bila kuthibitisha inamaana na wewe unatatizo.miaka 35 umepanga ilala na huna mke kuna kitu hakipo sawa!
Soma maandiko matakatifu.Mmmh kaka samahani unatulisha matangopori,Yesu alisema wapi hayo maneno?🤔
😂 kwanini mzinguane na nyie ni malaika?Kuna wadada wakiskia ndoa mirija ya akili inaacha kufanya kazi.... imagine nimetoka kumzingua akutane na hili tangazo
Kujana habari yako.... vip kuna uelekeo, wanakuja PM?Kujana: 35