Mimi ni Web developer na Mobile dev nina wazo njoo tu discuss

Hakuna binadamu mwenye hobby 1 tu

Ungekuwa na hobby nyingine ungeutumia ujuzi wako wa web design kusupplement hobby yako ya pili

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikuambie kazi nyingine ukifanya utatoboa tofauti na website development
Mwamba kakaribisha mtu mwenye wazo yeye alifanyie Kaz kwa gharama zake ila tu mwenye wazo awe tayari kulifanyia marketing liuzike, sasa huu ushauri mwingine ni kukoseana tu adabu
 
Some of Ideas

Create app ambayo itatatua changamoto na kuleta solutions kwa watu wanaohitaji msaada fulani au inayo wagusa watu moja kwa moja eg Mazoezi, Umbea etc

Monetization method tumia In app purchases.. Usi-run ads, admob or anything. Tumia only IAP as well as paid apps in IOS store

Kuhusu app yako ili iwahi kujulikana na watu kwa haraka basi utatumia paid sponsor adds in Facebook or Instagram

Huenda tunajua vitu vingi sana katika programming but kuchagua niche ya project ambayo ita kuingizia pesa ndio inafanya watu washindwe kupiga pesa
 
Hakuna binadamu mwenye hobby 1 tu

Ungekuwa na hobby nyingine ungeutumia ujuzi wako wa web design kusupplement hobby yako ya pili

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikuambie kazi nyingine ukifanya utatoboa tofauti na website development
28/July
 
upo sahihi sana kama
Huenda tunajua vitu vingi sana katika programming but kuchagua niche ya project ambayo ita kuingizia pesa ndio inafanya watu washindwe kupiga pesa
upo sahihi saana kaka
Some of Ideas

Create app ambayo itatatua changamoto na kuleta solutions kwa watu wanaohitaji msaada fulani au inayo wagusa watu moja kwa moja eg Mazoezi, Umbea etc

Monetization method tumia In app purchases.. Usi-run ads, admob or anything. Tumia only IAP as well as paid apps in IOS store

Kuhusu app yako ili iwahi kujulikana na watu kwa haraka basi utatumia paid sponsor adds in Facebook or Instagram

Huenda tunajua vitu vingi sana katika programming but kuchagua niche ya project ambayo ita kuingizia pesa ndio inafanya watu washindwe kupiga pesa
 
what is yor price kwa simple app moja

I mean simple app like this....
1. Home screen: User can add/edit/delete expense

2. Contact us page: when they click that, their Gmail app will open and send me an email

3. Handling 1 simple in-app purchase, if user didn't purchase the app, then we show ads
 
Fanya kazi zifuatazo

1. Sales copy writer
2. Kuwa mwanasheria na wakili
3. Kuwa mwalimu
4. Kuwa mwandishi
5. Kuwa muongoza watalii (tour guider)

Tengeneza site (sababu wewe ni web developer) za mojawapo ya kazi nilizokushauri hapo juu na uwe boss mwenyewe

Ni kweli nimeona wewe siyo mpenda hela kama ambavyo umetangaza kwenye hoja yako kwamba utafanya kazi Bure partner awe na idea na mtaji wa marketing! Ni kweli nimeona kwa asili kabisa hela siyo vitu unavyovipa vipaumbele sana!
Tatizo la IT ni kujua kutumia Codes mambo mengine hawajui.
Vacuum ya IT ni kukosa content ya hayo mambo mengine uliotaja.

Kwa hio IT anamuhitaji mwalimu ili mwalimu atengeneze kontent ili IT atengenezee code aunde app.
Makampuni ya wenzetu yanafanya kazi kwa TEAM yenye watu wenye ujuzi tofauti hivyo basi hayakosi cha kufanya.
IT jiungeni na wabunifu na taalumabali mbali ili mtengeneze kitu.
Binafsi nimeliona hilo ombwe, ila halipo kwa Kwa watu waliosoma IT na fani nyingine kwa mpigo mfano IS with maths, au finance au engineering.
Mimi nashauri vijana wanaosoma IT wasome na ujuzimwingine, mfano ukidoma UT ukasoma na english au kiswahili unaweza unda education app wewe mwenyewe bila kumtegemea mtu nwingine ajazie ujuzi.
Soma markerting na IT utaogelea vizuri sana kwenye biashara.
 
Hakuna binadamu mwenye hobby 1 tu

Ungekuwa na hobby nyingine ungeutumia ujuzi wako wa web design kusupplement hobby yako ya pili

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikuambie kazi nyingine ukifanya utatoboa tofauti na website development
Miti7 mi 10/03.
 
what is yor price kwa simple app moja

I mean simple app like this....
1. Home screen: User can add/edit/delete expense

2. Contact us page: when they click that, their Gmail app will open and send me an email

3. Handling 1 simple in-app purchase, if user didn't purchase the app, then we show ads
900k
 
Researcher, engineer, market analysist, financial advisor, sexologist (mshauri wa Mapenzi na mahusiano), askari mpelelezi, daktari wa upasuaji
dah mbona sijasoma inamaa hapo basi siwezi toboa kimaisha?
 
Tatizo la IT ni kujua kutumia Codes mambo mengine hawajui.
Vacuum ya IT ni kukosa content ya hayo mambo mengine uliotaja.

Kwa hio IT anamuhitaji mwalimu ili mwalimu atengeneze kontent ili IT atengenezee code aunde app.
Makampuni ya wenzetu yanafanya kazi kwa TEAM yenye watu wenye ujuzi tofauti hivyo basi hayakosi cha kufanya.
IT jiungeni na wabunifu na taalumabali mbali ili mtengeneze kitu.
Binafsi nimeliona hilo ombwe, ila halipo kwa Kwa watu waliosoma IT na fani nyingine kwa mpigo mfano IS with maths, au finance au engineering.
Mimi nashauri vijana wanaosoma IT wasome na ujuzimwingine, mfano ukidoma UT ukasoma na english au kiswahili unaweza unda education app wewe mwenyewe bila kumtegemea mtu nwingine ajazie ujuzi.
Soma markerting na IT utaogelea vizuri sana kwenye biashara.
ni kwel mzee,wafanye kwa ushilikiano
 
Mkuu mimi nina wazo unitengenezee app kama ya betpawa au spotpes ila c ya michezo ya kubahatisha yenyewe iwe na mlengo wa kama m pesa nikiwa na maana vijana weng hawana ajira na mitaji na wanapoteza pesa zao nyingi kwa kutajirisha wajanja wachache app hy itakuwa na muundo wa kama vile vikundi vya wamama vicoba ila c vikoba mfano wewe unatoa jero yule jero na mpo watu elfu 50 au m1 hy hela ikishachangwa app itagawa kwa watu wenye wazo lenye kuitaji mtaji na mwisho wote watapata mfano mm msanii sina pesa nitaingia kwenye app nitachanga na kutoa wazo end the day nikifika kiasi flan nitagawiwa uwezo iwe kutafutiwa studio na kusimamiwa na app hela ya kufikisha lengo oii mtoa mada mambo yasiwe meng mwenyewe najua nafanyaje kuwezekana hil jambo nimekupa muongozo tuone kama unaweza kutengeneza hiyi app kama upo tayar whtsap hy 0621310646 ili tufanye kitu kwa ukubwa najua kwa uwezo wako na mawazo yangu tunaweza kutoa vijana wenye ndoto nina mawazo meng na hili ni wazo dogo katk secta yako ya web
 
Njoo kiongozi tutengeneze app yetu ya fantasy 6 Tz, unajua kiongozi SOKA la kibongo limekua Kwa kasi na katika mashabiki wa SOKA wengi ni watumiaji wa smartphone .
Hapa Kwa kila wiki zinachaguliwa mechi sita za ligi kuu Tanzania za Kibabe hivyo watumiaji wanatakiwa kuchagua mchezaji mmoja ambaye atavuka Lengo la point zake tulizolimit . Mwisho mechi zote zikimalizika watumiaji watapata jumla ya point zao na kuwekwa kwenye ubao wa washindi( leaderboard).

Tunaweza kupanga kama tutaweka jackpot ya wiki, mwezi na msimu mzima . Watumiaji wanaweza ku subscribe labda 300 Tzs Kwa mwezi hii ni moja ya njia ya kumonetize ,pia kupitia adds mbalimbali zitakazo play ndani ya app.Tutahitaji kupartner na wahusika na wasimamizi wa ligi


Hii ni kama abstract tu ukitaka maelezo zaidi nicheki inbox nikufafanulie na tuyajenge zaidi.
 
Kwahiyo boss umeshindwa hata kutofautisha mySql na no Sql database.
Idea itaeleweka kweli?!!!
acha ujuaji SQL works with many different database systems, so it's not specific to MySQL, but it's a language to know if you want to use MySQL. SQL is also the default query language used by MySQL, so it's easy to learn how to use MySQL without having to learn another language too.
 
Njoo kiongozi tutengeneze app yetu ya fantasy 6 Tz, unajua kiongozi SOKA la kibongo limekua Kwa kasi na katika mashabiki wa SOKA wengi ni watumiaji wa smartphone .
Hapa Kwa kila wiki zinachaguliwa mechi sita za ligi kuu Tanzania za Kibabe hivyo watumiaji wanatakiwa kuchagua mchezaji mmoja ambaye atavuka Lengo la point zake tulizolimit . Mwisho mechi zote zikimalizika watumiaji watapata jumla ya point zao na kuwekwa kwenye ubao wa washindi( leaderboard).

Tunaweza kupanga kama tutaweka jackpot ya wiki, mwezi na msimu mzima . Watumiaji wanaweza ku subscribe labda 300 Tzs Kwa mwezi hii ni moja ya njia ya kumonetize ,pia kupitia adds mbalimbali zitakazo play ndani ya app.

Hii ni kama abstract tu ukitaka maelezo zaidi nicheki inbox nikufafanulie na tuyajenge zaidi.
0746815931
 
Back
Top Bottom