Mimi ni Web developer na Mobile dev nina wazo njoo tu discuss

Acha siasa leta code hapa, IT haeaongei kea maneno kazi zao ndio zinaongea. Mdogo wangu wa wisho anakampuni ya IT toka siku ya kwanza ananza chuo alikua yatari ana account github wewe 5ys huna hata link ya kukutambulisha alfu unajiita IT
namba hizo hapo kama unataka kuona kazi zangu na project zangu nichekii namba nimeshaweka hapoo
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu

kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu
Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring.

lengo la kuandika huu uzi ni hilii.
1.Nataka mtu ambaye ana ideas ambayo itatuwezesha sisi kupata pesa mimi nita i develop hiyo project bila hata senti moja, ila tuu anihakikihishie baada ya mda flani tutaanza kupata pesa. yeye kazi yake kubwa aweze kuifanyia marketing maaana mimi sio mzuri kwenye kujieleza.
2.Mimi pia nafundisha languages hizo apo juu kwa usahihi na kwa garama nafuu.
karibuni wote ambaye ana Ideas na ambaye anataka kufundishwa.

Addition
Pia kama wewe ni developer uwe upande wa Web au Mobile unaweza ukawasiliana na mimi hapa tukawa kubadilishana mawazo maana naamini kwenye Umoja nakusisitizia usitangulize pesa mbele bali wekeza ili badae uweze kupata pesa ukiweka pesa mbele safari itakua ni Ngumu sana.

Watu wote waliofanikiwa waliwekeza mda kwanza na kutafuta fursa za wao kuwaingizia pesa MIMI PESA SIO KIPAUMBELE CHANGU. KIPAUMBELE CHANGU NI KU INVEST KWA NGUVU ZANGU KWENYE KITU KITAKACHO NIINGIZIA PESA.

MIMI NI BASE SANA NA WEB DEVELOPMENT NA PIA MOBILE APP KWA UPANDE WA ANDROID PEKEE UPANDE NATENGENEZA KWA KUTUMIA KOTLIN ILA KUTOKANA NA DUNIA ILIVO HAPA NDO NIKO NASOMA REACT NATIVE ILI NIKITENGENEZA MOBILE I RUN IOS NA ANDROID.




Namba ya Simu
0746815931
Kasome kijerumani pale Goethe mnahitajika sana huku.
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu

kuwa mimi ni web developer kwa miaka takribani 5
ninafahamu PHP, Javascripty,Mysql,CSS,
pia nafahamu laravel na codeignter kwa ufasihi mkubwa pia nafahamu
Kotlin pamoja na Java nafahamu vizuri kabisaa frameworks ya Java spring.

lengo la kuandika huu uzi ni hilii.
1.Nataka mtu ambaye ana ideas ambayo itatuwezesha sisi kupata pesa mimi nita i develop hiyo project bila hata senti moja, ila tuu anihakikihishie baada ya mda flani tutaanza kupata pesa. yeye kazi yake kubwa aweze kuifanyia marketing maaana mimi sio mzuri kwenye kujieleza.
2.Mimi pia nafundisha languages hizo apo juu kwa usahihi na kwa garama nafuu.
karibuni wote ambaye ana Ideas na ambaye anataka kufundishwa.

Addition
Pia kama wewe ni developer uwe upande wa Web au Mobile unaweza ukawasiliana na mimi hapa tukawa kubadilishana mawazo maana naamini kwenye Umoja nakusisitizia usitangulize pesa mbele bali wekeza ili badae uweze kupata pesa ukiweka pesa mbele safari itakua ni Ngumu sana.

Watu wote waliofanikiwa waliwekeza mda kwanza na kutafuta fursa za wao kuwaingizia pesa MIMI PESA SIO KIPAUMBELE CHANGU. KIPAUMBELE CHANGU NI KU INVEST KWA NGUVU ZANGU KWENYE KITU KITAKACHO NIINGIZIA PESA.

MIMI NI BASE SANA NA WEB DEVELOPMENT NA PIA MOBILE APP KWA UPANDE WA ANDROID PEKEE UPANDE NATENGENEZA KWA KUTUMIA KOTLIN ILA KUTOKANA NA DUNIA ILIVO HAPA NDO NIKO NASOMA REACT NATIVE ILI NIKITENGENEZA MOBILE I RUN IOS NA ANDROID.




Namba ya Simu
0746815931
Am an entrepreneur specialist I Will check with you on that number, pia na mimi na ubunifu wangu kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike
 
Fanya kazi zifuatazo

1. Sales copy writer
2. Kuwa mwanasheria na wakili
3. Kuwa mwalimu
4. Kuwa mwandishi
5. Kuwa muongoza watalii (tour guider)

Tengeneza site (sababu wewe ni web developer) za mojawapo ya kazi nilizokushauri hapo juu na uwe boss mwenyewe

Ni kweli nimeona wewe siyo mpenda hela kama ambavyo umetangaza kwenye hoja yako kwamba utafanya kazi Bure partner awe na idea na mtaji wa marketing! Ni kweli nimeona kwa asili kabisa hela siyo vitu unavyovipa vipaumbele sana!

Mimi tarehe 01/May
 
Mkuu labda nikusaidie , Watanzania ni watu wajuaji sana na wenye kuchukulia poa sana watu wa tech(ITs) ,

wenyewe wana neno la FROM THE SCRATCH utaskia hii umepiga "from the scratch" au "nataka uipige from the scratch", watakuchosha man , tena watakuchosha mnooo ,

Kama una skills hizo unda App usefull ambayo marketing yake sio kubwa yenye ambayo una imudu hata alone , tenga mwezi ifanye iishe then komaa nayo sokoni miezi sita kwa kuanzia mode of production iwe thirdparty Ads kama Admob na Fb Adwords au Adsense kama itakua site(hii itakuchelewesha ila kama una muda wa kutosha ruka nayo)

Ukishaanza kupata maokoto na kua na uwezo wa wa kumudu kulipa mtu awe ana deal na specific angle eg marketing ndio unaweza ukaanza kuweka sasa plan za ku tengeneza App zenye mode of production nje ya Ads ,

Mtu anakuja anakwambia lete kazi zako tuone uwezo wako , wakati umetoa nafasi ya wazo na utafanya bure , anataka aone uwezo wako for what purpose ?,

Kesho kesho kutwa ana posti Tz hamna IT ,

Tansia na IT Tanzania inakwamishwa na ujuaji wasio IT sababu ukisha kua IT(programmer) ni kama ume quit external life so huwezi ku play any part other than code

Kufeli kwa startup za tech au kuto kuwepo sababu mi watu wasio IT , ambao kimsingi walitakiwa wazi sapoti ila wako bize ku critisize ..


Mwisho kabisa achana na wabongo, hata client wa Tz achana nao ,kapige free lancing Upwork, pata App zako ambazo ni iseful Wordwide piga pesa za google , kuza protforlio ,Upwork , tengeneza systerm ,App au site uza sourcecode Invato

Yani kwa kifupi achana na watanzania ni wajuaji sana na hawawezi kukusaidia ,

Hapa wata piga blaa blaa ila hupata hata mmoja serious na ni Bure
 
Mkuu labda nikusaidie , Watanzania ni watu wajuaji sana na wenye kuchukulia poa sana watu wa tech(ITs) ,

wenyewe wana neno la FROM THE SCRATCH utaskia hii umepiga "from the scratch" au "nataka uipige from the scratch", watakuchosha man , tena watakuchosha mnooo ,

Kama una skills hizo unda App usefull ambayo marketing yake sio kubwa yenye ambayo una imudu hata alone , tenga mwezi ifanye iishe then komaa nayo sokoni miezi sita kwa kuanzia mode of production iwe thirdparty Ads kama Admob na Fb Adwords au Adsense kama itakua site(hii itakuchelewesha ila kama una muda wa kutosha ruka nayo)

Ukishaanza kupata maokoto na kua na uwezo wa wa kumudu kulipa mtu awe ana deal na specific angle eg marketing ndio unaweza ukaanza kuweka sasa plan za ku tengeneza App zenye mode of production nje ya Ads ,

Mtu anakuja anakwambia lete kazi zako tuone uwezo wako , wakati umetoa nafasi ya wazo na utafanya bure , anataka aone uwezo wako for what purpose ?,

Kesho kesho kutwa ana posti Tz hamna IT ,

Tansia na IT Tanzania inakwamishwa na ujuaji wasio IT sababu ukisha kua IT(programmer) ni kama ume quit external life so huwezi ku play any part other than code

Kufeli kwa startup za tech au kuto kuwepo sababu mi watu wasio IT , ambao kimsingi walitakiwa wazi sapoti ila wako bize ku critisize ..


Mwisho kabisa achana na wabongo, hata client wa Tz achana nao ,kapige free lancing Upwork, pata App zako ambazo ni iseful Wordwide piga pesa za google , kuza protforlio ,Upwork , tengeneza systerm ,App au site uza sourcecode Invato

Yani kwa kifupi achana na watanzania ni wajuaji sana na hawawezi kukusaidia ,

Hapa wata piga blaa blaa ila hupata hata mmoja serious na ni Bure
asante saana kaka nimekupata vyema saana.. yaaani mtu analeta ujuaji wnaboa sana.
ngoja nilifanyie kazi wazo lako kaka asante.
 
Mkuu labda nikusaidie , Watanzania ni watu wajuaji sana na wenye kuchukulia poa sana watu wa tech(ITs) ,

wenyewe wana neno la FROM THE SCRATCH utaskia hii umepiga "from the scratch" au "nataka uipige from the scratch", watakuchosha man , tena watakuchosha mnooo ,

Kama una skills hizo unda App usefull ambayo marketing yake sio kubwa yenye ambayo una imudu hata alone , tenga mwezi ifanye iishe then komaa nayo sokoni miezi sita kwa kuanzia mode of production iwe thirdparty Ads kama Admob na Fb Adwords au Adsense kama itakua site(hii itakuchelewesha ila kama una muda wa kutosha ruka nayo)

Ukishaanza kupata maokoto na kua na uwezo wa wa kumudu kulipa mtu awe ana deal na specific angle eg marketing ndio unaweza ukaanza kuweka sasa plan za ku tengeneza App zenye mode of production nje ya Ads ,

Mtu anakuja anakwambia lete kazi zako tuone uwezo wako , wakati umetoa nafasi ya wazo na utafanya bure , anataka aone uwezo wako for what purpose ?,

Kesho kesho kutwa ana posti Tz hamna IT ,

Tansia na IT Tanzania inakwamishwa na ujuaji wasio IT sababu ukisha kua IT(programmer) ni kama ume quit external life so huwezi ku play any part other than code

Kufeli kwa startup za tech au kuto kuwepo sababu mi watu wasio IT , ambao kimsingi walitakiwa wazi sapoti ila wako bize ku critisize ..


Mwisho kabisa achana na wabongo, hata client wa Tz achana nao ,kapige free lancing Upwork, pata App zako ambazo ni iseful Wordwide piga pesa za google , kuza protforlio ,Upwork , tengeneza systerm ,App au site uza sourcecode Invato

Yani kwa kifupi achana na watanzania ni wajuaji sana na hawawezi kukusaidia ,

Hapa wata piga blaa blaa ila hupata hata mmoja serious na ni Bure
Mkuu UMEMALIZA KILA KITU KABISAA
 
Nina wazo ila sjui pa kuanzia Tanzania Kuna watu 60M kwa mujibu wa takwimu za sensa 2022 ,,watumiaji wa smartphone ni 27% ya hao watu million 60 ,,nikawaza kama nikipata 1% ya watanzania wanaotumia smartphone nikadevelop kitu ambacho hii asilimia 1% ya watanzania wataweza kuchangia 500 per month throughout the year nikaona I can make a handsome amount of money wazo likaishia hapo ila bado naendelea kuchimba

Sent from my CPH2349 using JamiiForums mobile app
Nice idea. It has to do with what they interact with from day to day, ambayo hawawezi kukwepa.
 
Back
Top Bottom