Mwangajamiitz
Member
- Jan 28, 2022
- 25
- 68
Huwa najiuliza kwanini Serikali Isingewaezesha Wa kulima kama vile kuwapatia Vifaa Vya kisasa Vya Kilimo kama Trekta, Mashine za umwagiliaji halafu kila mkulima Anapovuna Anatoa Asilimia Kumi tu ya mazao baáda ya Miaka mitano mkulima ataachiwa Vifaa hivyo.
Na kila Serikali inapochukua Asilimia kumi kwenye Ghala kuu ya Taifa. Napenda sana Kilimo na Eneo ninalo Kubwa sana ila Sijafanikiwa kupata vitendea kazi.
Na kila Serikali inapochukua Asilimia kumi kwenye Ghala kuu ya Taifa. Napenda sana Kilimo na Eneo ninalo Kubwa sana ila Sijafanikiwa kupata vitendea kazi.