bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Kuna mambo mengine magumu kuyasema by word, and the expectation is that, mhusika anatakiwa asome alama za nyakati. ningekuwa mi ndo huyo dada ningeshasepa, unawezakuta huyo jamaa ana mke na watoto kabisa. na kwa ufupi jamaa ni msanii period!
unaona sasa tofauti yetu hapo.....
hata mie naona hapo kila kitukiko wazi kabisa, huyu dada sioni kama ategemee ndoa. impliedly huyu jamaa anaonesha hana mpango na inawezekana huyu ana mke tayari kweli....
labda bibie atueleze wnakutana kila baada ya muda gani??