fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,025
Naona Kapuku wanaleta tishio kwa wakongwe,lakini mwisho wa yote mkubwa ni mkubwa tu hata awe mfupi.Katibu mipango wa Makapuku nipo hapa.. Hakuna kujipendekeza kwa mtu tunaamini tuna ubora kuliko wao... Hapa ni muda wa makapuku kusimama na kung'aa... No shobo no Ufagio