Biashara ya playstation

Jafarinho

Member
Apr 20, 2024
8
11
Habarini wakuu Mimi ni kijana wa miaka 23 lengo la Uzi huu ni kuomba msaada jinsi ya kuanzisha biashara ya playstation.

Nina plani za kuanzisha biashara hii baada ya kumaliza masomo yangu ya elimu ya juu hapo mwezi wa saba baada ya kujikusanya hela ya boom Nina kama M1.5 .hivyo nahitaji mawazo,mafanikio na changamoto kuhusu biashara hii...natanguliza shukrani Kwa wana jf wote
 
Ni wapi unataka kuwekeza iyo biashara? coz biashara ina up and down kwenye mapato... muhimu uwe tyri kujifunza kwanz mim iyo ni biashara ya huduma na haina mambo mengi muhimu watejaaa pesa utakayopata jifunze kusave.. invest sehem nyingne ili uweze kukua kijumla jifunze elimu ya fedha.. kila mtu duniaan anaona fursa tofauti.. mim sion future ya iyo biashara
 
Habarini wakuu Mimi ni kijana wa miaka 23 lengo la Uzi huu ni kuomba msaada jinsi ya kuanzisha biashara ya playstation.

Nina plani za kuanzisha biashara hii baada ya kumaliza masomo yangu ya elimu ya juu hapo mwezi wa saba baada ya kujikusanya hela ya boom Nina kama M1.5 .hivyo nahitaji mawazo,mafanikio na changamoto kuhusu biashara hii...natanguliza shukrani Kwa wana jf wote
Weka Uswazi ila ujiandae kugombana na wazazi. Mimi mwenyewe niko mbioni kutupia kam m5 sehemu moja hivi niweke ps watu wacheze
 
Weka biashara yako Sehemu Iliyochangamka Ps nunua zile zilichochipiwa ndio nzuri Kwa Biashara Pia inaafaa ukianza na PS zisipungue 3 weka game mbalimbali mfano Mpira combat magari nk alika baadha ya marafk zako cku za mwanzo waje kucheza Ili kuchangamsha biashara yako Wahudumie vizuri wateja wapya Ili waendeelee kuja hapo mfano wanacheza mechi 4 wewe waongezee 1 waambie hyo ofa nakuhakikishia ukipata sehemu nzuri kulaza 20k Kwa siku ni kawaida pia Kuna changamoto zake mfano umeme kukatika c unajua wanetu tanesco tena? Pad kuharibika hapa inabd uwe mkali maana madgo wanaharibu sana hiz pad pia kugombana na wazaz wa
Madogo kawaida maana unakua dogo kaiba ela kwao Ili acheze game so hayo inabd ujipange mapema kila la heri kijana mpambanaji
 
Weka biashara yako Sehemu Iliyochangamka Ps nunua zile zilichochipiwa ndio nzuri Kwa Biashara Pia inaafaa ukianza na PS zisipungue 3 weka game mbalimbali mfano Mpira combat magari nk alika baadha ya marafk zako cku za mwanzo waje kucheza Ili kuchangamsha biashara yako Wahudumie vizuri wateja wapya Ili waendeelee kuja hapo mfano wanacheza mechi 4 wewe waongezee 1 waambie hyo ofa nakuhakikishia ukipata sehemu nzuri kulaza 20k Kwa siku ni kawaida pia Kuna changamoto zake mfano umeme kukatika c unajua wanetu tanesco tena? Pad kuharibika hapa inabd uwe mkali maana madgo wanaharibu sana hiz pad pia kugombana na wazaz wa
Madogo kawaida maana unakua dogo kaiba ela kwao Ili acheze game so hayo inabd ujipange mapema kila la heri kijana mpambanaji
Thanks sana ndugu God bless you
 
Back
Top Bottom