GITWA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,505
- 1,711
Amani ya Mungu iwe juu yenu
Najua hapa kuna waelewa wa mambo mengi katika biashara hivyo naomba kujua mambo yanayotakiwa ili kuanzisha ofisi ya betting.
Miongoni mwa mambo ninayotaka kujua ni;
1. Mtaji kiasi gani tunatakiwa
2. Nawezaje kupata mfumo wa betting
3. Leseni yake inapatikanaje
4. Uendeshaji wake ukoje? Yaani ikitokea mtu kapata pesa kubwa kushinda mtaji wako inakuwaje?
5. Changamoto zake ni zipi?
Natanguliza shukurani kwa watakao nipa abc za hii biashara.
Najua hapa kuna waelewa wa mambo mengi katika biashara hivyo naomba kujua mambo yanayotakiwa ili kuanzisha ofisi ya betting.
Miongoni mwa mambo ninayotaka kujua ni;
1. Mtaji kiasi gani tunatakiwa
2. Nawezaje kupata mfumo wa betting
3. Leseni yake inapatikanaje
4. Uendeshaji wake ukoje? Yaani ikitokea mtu kapata pesa kubwa kushinda mtaji wako inakuwaje?
5. Changamoto zake ni zipi?
Natanguliza shukurani kwa watakao nipa abc za hii biashara.