hizi stori zipo sana. Wewe fanya kazi lakini usiaminishe vijana betting ni ajira betting ni umaskini betting ina athari kubwa katika utafutaji, betting ina athari katika ubongo, betting ina athari hata katika maisha binafsi ya kujisimamia kijana mwenyewe.
Hizo stori za watu ninawafahamu hata mm ninao jamaa washalemaa hakuna wanaloweza, na wanakimbilia kufunga 30 sasa. Ni pombe na stress hawajui mbeleni itakuwaje na wabatamani kuacha.
Wewe piga kazi sababu ni kizazi cha kijinga hichi chenye kutaka maisha marahisi
kampuni nzuri isiyo na complication ni premier betKampuni yoyote ambayo haina complications nyingi mkuu. Naomba madini yako uliyonayo
Hatuaomi 🤣Watanzania ama ni wavivu wa kusoma ama wanachokisoma huwa hawakielewi. Ukipitia comment nyingi utagundua kitu nachokisema.
Mleta thread anataka kufungua kampuni yake ya betting kama ilivyo sportpesa, wasafi bet nk lkn watu wanamtoa kwenye reli kwa kumuona yy anataka kubet (mkamalia) na wengine wanadhani anataka kuwa wakala. Jamani mwelekezeni kwa mnaojua kufungua kampuni kama alivyofanya Diamond (wasafi bet) inacost bei gani na utaratibu wake upoje? Ndicho anachotaka
Milioni 7, 8, 10 na 15 kutegemeana na mahali hata milioni 5 unaanza.Capital yake inatakiwa kuanzia sh. Ngapi mkuu