RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,031
- 108,859
kwere ndio nini?Tittle ya thread inajitosheleza
Punguza kwere
kwere ndio nini?Tittle ya thread inajitosheleza
Punguza kwere
Sijui....sisi hatubagui list itakuwa inaeditiwa HAPA NI UKUMBI WA WOTEkwere ndio nini?
asi na mimi Kapuku....Sijui....sisi hatubagui list itakuwa inaeditiwa HAPA NI UKUMBI WA MAKAPUKU TU
Wee hujui maana ya Kapuku hadi umri huo ulionao?Kupuku ndio nn
Acheni ubaguzi jamani wote humu ni wamoja.
Karibu sana kwa chama kubwa jf TEAM MAKAPUKU.B
asi na mimi Kapuku....
RRONDOPRODO karibu sana brother....
RRONDO
Ni hatariMkuu haujakutana na khadia za ubaguzi wa majukwaa flani ndio maana unadhani humu wote ni sawa, ila kiukweli we are not, there are two blocks ambazo ziko ktk battle ya chini kwa chini, chunguza vizuri utajua.
Ni muda WA wakongwe kutia akili na kupunguza dharau....
Ni kweli kabisa aisee
Wanakata stimu sanaaaNaona kazi yao kubwa ya mods ni kuedit tu, sijui wao ndo ma-CLEVER.
Founder una hasira mbayaaaaaNa leo ni SIKU MAALUMU KUUPA PROMO HUU UZI NI MARUFUKU KAPUKU KUANZISHA THREAD SIKU YA LEO HAPA CHIT GHAT.........
Ww umekomaa kupinga jina tu badala ya kutoa idea za kusogea mbele......MAKAPUKU ndo neno ambalo lishafahamika muda mrefu ...japokuwa mimi sio mkongwe ni wa juzi juzi ..dah ili jina hapana aisee ..mimi sio kapuku
Mkuu BITOZ na SIZZYA007 tunaombeni mtafute kajina kengine kazuri mfanye substitution kwa ilo jina kapuku
Tusipojikubali hawa wakongwe watatuona sisi ni small organism
Lakini ngoma ikivuma vuvuvuuuuuu ujue imekaribia kupasuka..hatuna nyota ya punda sisi hapa hapa bongo tutatoka tuu
Makapukuu hoyeeeeeee
japokuwa mimi sio mkongwe ni wa juzi juzi ..dah ili jina hapana aisee ..mimi sio kapuku
Mkuu BITOZ na SIZZYA007 tunaombeni mtafute kajina kengine kazuri mfanye substitution kwa ilo jina kapuku
Tusipojikubali hawa wakongwe watatuona sisi ni small organism
Lakini ngoma ikivuma vuvuvuuuuuu ujue imekaribia kupasuka..hatuna nyota ya punda sisi hapa hapa bongo tutatoka tuu
Makapukuu hoyeeeeeee
Ni Leo tu coz tutashindwa kuparticipate thread zoteFounder una hasira mbayaaaaa
Naunga mkono hoja kwa 100%