Lissu: Zanzibar ni koloni la Tanganyika


Samia anaweza kufanya lolote ila si Katika haya

Kuvunja au kabadilisha mfumo wa Muungano (kuweka serikali tatu)
Tume huru ya Uchaguzi (amabyo itahatarisha kikamilifu utawala wa CCM nchini)
Kuzuia CCM wasiibe mali ya umma

Katiba mpya anaweza kuleta, Ila vikwazo vikuu vya katiba mpya ni Muungano na Tume huru. na ndio mana wanaendelea kuzuga kutafuta njia ya kuileta bila ya kuwathiri katika mambo yao ya msingi.
 
Kwahiyo unahisi kuwa Chairman wa CCM inakutosheleza kufanya unachotaka? Ukoloni wa Tanganyika kwa Zanzibar unalindwa na CCM, Tiss na JWTZ. Kwahiyo yeye kama yeye hawezi kuwa na maamuzi bila ya kupata support kutoka kwenye makundi hayo matatu.
Mkoloni halisi wa Zanzibar ni ccm pekee akisaidiwa na hao uliowataja.
Tanganyika ni mhanga tu, anasingiziwa
 
Mkoloni halisi wa Zanzibar ni ccm pekee akisaidiwa na hao uliowataja.
Tanganyika ni mhanga tu, anasingiziwa

Kijuu juu unaweza kusema ni hivyo, ila kiuhalisia sio hivo mana tizama watanganyika humu jamavini wanavyoshabikia kuendelea kuitawala zanzibar. Linapokuja swala la Zanzibar si wafuasi wa CCM wala Chadema misimamo yao huwa inafanana
 
Back
Top Bottom