SANA, MIMI NINA LIBRARY YA CLIP ZAKE......huyu mtu na akili sana tena sana! niliwahi kusema kuwa Lisu unaweza kumlinganisha na Albert Einstein!Huwa raha sana kumsikiliza Lisu akichambua mambo
SANA, MIMI NINA LIBRARY YA CLIP ZAKE......huyu mtu na akili sana tena sana! niliwahi kusema kuwa Lisu unaweza kumlinganisha na Albert Einstein!Huwa raha sana kumsikiliza Lisu akichambua mambo
Ni ccm pande zote mbili. Maana kama hawautaki rais now mzenj ni kuongea na wenzake wakauvunja. So ccm ndio wanafaidika na huu muunganoAnaye lazimisha muungano ndio mkoloni.
Na nafikiri unafahamu yupi analazimisha huo muungano.
CCM ipo Tanganyika hata Lissu kasema hicho rudia kusikilizwa alichosema tena.Ni ccm pande zote mbili. Maana kama hawautaki rais now mzenj ni kuongea na wenzake wakauvunja. So ccm ndio wanafaidika na huu muungano
Kwa hiyo chama tawala zanziba ni kipi? Chairman wa ccm ni mzenj kama anataka muungano wa uvunjwe anaweza maana ni rais na mwenyekiti wa ccmCCM ipo Tanganyika hata Lissu kasema hicho rudia kusikilizwa alichosema tena.
Hana hayo mamlaka kama tu jeshi la Tanganyika halipo upande wake ndio yale yale ya JumbeKwa hiyo chama tawala zanziba ni kipi? Chairman wa ccm ni mzenj kama anataka muungano wa uvunjwe anaweza maana ni rais na mwenyekiti wa ccm
Mkoloni wa wa-Zanzibari ni CCM, kwa sababu hata sisi wa-Tanganyika hatuitaki Zanzibar.Alicho ongea lissu sio ujinga labda kama una tafsiri yako ya ujinga.
Na Tanganyika sio koloni la Zanzibar ukielewa yule anaye ng'ang'aniza muungano na yule anaye pinga ndipo utajua yupi ndio mkoloni halisi.
Alicho ongea Lissu ndio ukweli halisi.
Kipindi cha mkasiHiv hapa alikuwa kwenye saluni ya kike au naona vibaya hilo dude nyuma yake?
Sawa sawa kabisa. Sijui Lissu kaingiwa na mtindio wa akili ukubwani?Kinyume chake? 🐼
Kwa nini machadema yanapingana sana na muungano! Wetu tukufu!?, chadema ni hovyo kabisa kabisa.
Sahihi kabisa.Mkoloni wa wa-Zanzivari ni CCM, kwa sababu hata sisi wa-Tanganyika hatuitaki Zanzibar.
HeeeeHeee! Uliwahi kumsikiliza Einstein, mkuu 'Retired'?SANA, MIMI NINA LIBRARY YA CLIP ZAKE......huyu mtu na akili sana tena sana! niliwahi kusema kuwa Lisu unaweza kumlinganisha na Albert Einstein!
Yupi ana lazimisha muungano kwa kimabavu kati ya Tanganyika na Zanzibar ?Sawa sawa kabisa. Sijui Lissu kaingiwa na mtindio wa akili ukubwani?
Koloni litawezaje kuweka mtu wake awe mkuu wa nchi, na hilo koloni lifaidike zaidi kiuchumi kuliko mkoloni mwenyewe.
Lissu ni muhimu achunge sana kauli zake tata za aina hii. Vinginevyo zitaanza kumshushia heshima yake katika jamii.
Utukufu wake ni upi ? Kuua Wazanzibari au ?Kwa nini machadema yanapingana sana na muungano! Wetu tukufu!?, chadema ni hovyo kabisa kabisa.
Watanganyika ndio wanao ongoza kung'ang'ania muungano hili lipo wazi kwa visababu vya hovyo visivyo na miguu wala kichwaMkoloni wa wa-Zanzivari ni CCM, kwa sababu hata sisi wa-Tanganyika hatuitaki Zanzibar.
Watanganyika kupitia CCM ndio wanao amua hata Rais Zanzibar nani awe na nani asiwe hata kwa kutumia majeshi ya Tanganyika huu ni ukoloni wa wazi waziSahihi kabisa.
Lissu alipaswa kueleza hilo; nadhani kapitiwa tu.
CCM wa huku Tanganyika ndio walioshikriwa na wenzao wa Zanzibar wanaoogopa Tanganyika ikijiondoa maslahi ya hao CCM wa visiwani yatafikia kikomo.
Tueleze kwanza zako kabla ya kukimbilia kwa Lissu. Naona kwako kichwani ni mtupu kabisa hata kama huwezi kujitetea mwenyewe.Nafikiri unafahamu sasa sijui ni nani aliyekosa akili kati ya Lissu na wewe katika hilo
Wewe ni mwanamke au mwanaume ?Tueleze kwanza zako kabla ya kukimbilia kwa Lissu. Naona kwako kichwani ni mtupu kabisa hata kama huwezi kujitetea mwenyewe.
Nimekusoma vibandiko vyako kadhaa kwenye mada hii, sioni chochote cha kunishawishi kuwa kichwani zinakutosha.
Baada ya kusema hayo, ukitaka nikufundishe kidogo ili nawe uweze kusimama na kujenga hoja kuhusu maswala kama haya, anza kushika adabu yako. Umenielewa?
Sikiliza, usipayuke hovyo hapa. Tulia na ujadili mada na siyo kulazimisha tu unavyotaka wewe.Watanganyika kupitia CCM ndio wanao amua hata Rais Zanzibar nani awe na nani asiwe hata kwa kutumia majeshi ya Tanganyika huu ni ukoloni wa wazi wazi