Itakusaidia nini kujuwa. Jadili mada, achana na kunitafuta mimi. Huwa sina simile na wapumbavu. Rekodi yangu ipo wazi humu humu JF. Chunga sana.Wewe ni mwanamke au mwanaume ?
Itakusaidia nini kujuwa. Jadili mada, achana na kunitafuta mimi. Huwa sina simile na wapumbavu. Rekodi yangu ipo wazi humu humu JF. Chunga sana.Wewe ni mwanamke au mwanaume ?
Hujajibu swaliItakusaidia nini kujuwa. Jadili mada, achana na kunitafuta mimi. Huwa sina simile na wapumbavu. Rekodi yangu ipo wazi humu humu JF. Chunga sana.
Hujui kusoma na kuelewa kilicho andikwa?Hujajibu swali
Yah kinyume chake ndio ukweli. Sasa nani koloni wa mwenzake kama wao wanaweza kuja bara wakafanay chochote bila kuhitaji kuwa ni kitambulisho. Kama wao wanafaidika na kazi za abra ila mtanganyika labda ukafanye kazi hotelini ila si serikalini. Kama wao hadi wanafikiria twende kwao kwa passport, kama wanaweza kumiliki ardhi. Muda mwingine wanasiasa husema lolote kuwafurahisha walio wengi.
Kwa nini mafisiem mnang'ang'ania huu muungano wa mchongo?Kwa nini machadema yanapingana sana na muungano! Wetu tukufu!?, chadema ni hovyo kabisa kabisa.
Jadili hoja yake.Hiv hapa alikuwa kwenye saluni ya kike au naona vibaya hilo dude nyuma yake?
Sio kila msomi anaweza kukusaidia
UK ERA AND SYSTEM, ONE DAY WORLD WOULD BE ONE!Kwa nini mafisiem mnang'ang'ania huu muungano wa mchongo?
Naona chadomo mmekosa pa kushika sasa mmebakia kuuchokonoa muungano, CHADEMA SI CHAMA KINACHOITAKIA MEMA NCHI HII YA TANZANIA!,Utukufu wake ni upi ? Kuua Wazanzibari au ?
Kwa hiyo chama tawala zanziba ni kipi? Chairman wa ccm ni mzenj kama anataka muungano wa uvunjwe anaweza maana ni rais na mwenyekiti wa ccm
Ina alternate kuna msimu Zanzibar huwa koloni la Tanganyika na kuna msimu Tanganyika huwa koloni la Zanzibar. Inategemea nani yupo Madarakani.Kinyume chake? 🐼
Unampa madaraka ya kupangua na kupanga watakaomuunga mkono. Kama ana uwezo wa kuondoa wapinzani wake kwenye chama na serikali kujihakikishia nafasi ya kugombea tena hata hili analiweza.Kwahiyo unahisi kuwa Chairman wa CCM inakutosheleza kufanya unachotaka? Ukoloni wa Tanganyika kwa Zanzibar unalindwa na CCM, Tiss na JWTZ. Kwahiyo yeye kama yeye hawezi kuwa na maamuzi bila ya kupata support kutoka kwenye makundi hayo matatu.
Unampa madaraka ya kupangua na kupanga watakaomuunga mkono. Kama ana uwezo wa kuondoa wapinzani wake kwenye chama na serikali kujihakikishia nafasi ya kugombea tena hata hili analiweza.
LabdaMpaka akaweza kuwaondoa hao wapinzani ujue anayo support kutoka ndani ya mfumo. kuondoa wapinzani ndani ya chama ni ishu ndogo sana ukilinganisha na ishu ya muungano
Huo muungano wa hovyo unatakiwa na ccm na machawa wake kama wewe pekee, siyo Watanganyika wala WazanzibarKwa nini machadema yanapingana sana na muungano! Wetu tukufu!?, chadema ni hovyo kabisa kabisa.
Hakuna jambo positive Lisu na Wapinzani wengi kiujumla amewahi ongea zaidi ya kupinga,kukosoa,kuchochea vurugu na mgawanyiko wa jamii kwamba yeye hapo ndio anaona ndio kuwa mpinzani.