johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,423
- 142,661
Zanzibar imekuwepo kitambo Sana na bado ipo lakini Tanganyika kama Tanganyika hatunayo kwa miaka 60 sasa ambao ni Umri wa kustaafu kwa lazima
Kusema Zanzibar ni koloni la Tanganyika ni kujidanganya kwa kujifurahisha tu
Naingia Kanisani, Mungu wa mbinguni awabariki Sana 😄
Kusema Zanzibar ni koloni la Tanganyika ni kujidanganya kwa kujifurahisha tu
Naingia Kanisani, Mungu wa mbinguni awabariki Sana 😄