Chosen man
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 526
- 740
Ndio ajue mleta mada kuwa hili si jambo la kawaidaKiko wapi Leo?
Ndio ajue mleta mada kuwa hili si jambo la kawaidaKiko wapi Leo?
katika wanaume 100 hakuna mwanaume mwenye wake wengi analala au kuishi na wake zake nyumba moja. Hii inaleta tafsiri gani? Kwamba haya mambo yanalazimishwa au Dini ilikosea? Kuna ugumu gani wa kulala na wakeze pamoja?Ingeleta maana nzuri sana wenye wake wengi kulala nao pamoja. Tuone kama wanaweza kuwapelekea moto wa kutosha kwa pamoja
unaposema si jambo la kawaida una halalisha kwamba dini ilikosea au mila zetu za zamani zilikuwa zinakandamiza bila mwanamke kupenda hicho kitu?Ndio ajue mleta mada kuwa hili si jambo la kawaida
mkuu unataka kusema dini au mila zetu za zamani zilikosea kufanya hivyo?Miaka hii kuoa wake wengi ni kujitafutia presha na magonjwa tu.
Jibu lako bwanamdogo ni kua wanawake kuvurugana ni dakika 0 tu, kwa akili ya kawaida tu huwezi waweka pamoja watazinguana.
Na wewe kipato kitashuka mno maana ukifanya hilo kwa huyu na yule atataka papo hapo bila kusubiri, wivu wivu wivu , kama hamuoni hawez jua mnaishije atajua tu ana mke mwenza.
Wewe nae ungekaa kimya si lazima kila kitu uchangie. Haya pumzika sasaOa wewe uwaweke chumba kimoja halafu utuletee majibu ya kile utakachokutana nacho!
Hapa mambo ya dini yanatoka wapi? Asili ya maumbile mwanaume ni mtu wa mitala hata kabla ya hizo dini, lakini kwa kuwa ana akili na utashi ndio maana hafanyi kama wanyamaunaposema si jambo la kawaida una halalisha kwamba dini ilikosea au mila zetu za zamani zilikuwa zinakandamiza bila mwanamke kupenda hicho kitu?
aiseee hii inaonyesha Dini Ilikosea Sana katika jambo hili. Kwann waoneane wivu na kutaka kuuwana wakati Dini imeruhsu?Wanafanya vile (kuwapangia seheme tofauti tofauti) kwa sababu ya kuhofia wivu na kutaka kutupiana majini
ok kwa kuwa dini umekataa tuongelee asili hiyo hiyo.Hapa mambo ya dini yanatoka wapi? Asili ya maumbile mwanaume ni mtu wa mitala hata kabla ya hizo dini, lakini kwa kuwa ana akili na utashi ndio maana hafanyi kama wanyama
haya ni maneno yako.Kwaiyo mtume Mohammad alikua anapiga 3some au unataka kusemaje kijana
wapumbavu kama wewe hawakosekani. Haya kunywa dawa mkuu ulaleKwanza wewe umeoa? Kama umeoa mke mmoja basi ongeza wa pili ulale nao chumba kimoja na utapata majibu sahihi zaidi ya hapa jamii forum. Kama hujao basi acha kurukia mambo ya mbele oa kwanza.
Angalizo:
Video za ngono sijui za stepmom and step son, stepsister, granny, 3some, zile ni title tu, mtakuja kupata laana mbaya sana mki apply kiukweli ukweli.
Maisha ya zamani ni tofauti na sasa, tuanzie na dini iliyoruhusu....imeanzia uarabuni, walikuwa na mila zao za wake wengi, Kwa wakati huo gharama ya kutunza mke ilikuwa ndogo, ni chakula tu, mavazi ya nini mke hata haruhusiwi kutoka nje, mnazaa hamna gharama za Ada za watoto wala picnic......tena Uislamu ulileta mwisho wake wanne ili kuwalimit watu, watu walioa hadi wake 20.unaposema si jambo la kawaida una halalisha kwamba dini ilikosea au mila zetu za zamani zilikuwa zinakandamiza bila mwanamke kupenda hicho kitu?
Mkuu hili sio swali langu kabisa.Maisha ya zamani ni tofauti na sasa, tuanzie na dini iliyoruhusu....imeanzia uarabuni, walikuwa na mila zao za wake wengi, Kwa wakati huo gharama ya kutunza mke ilikuwa ndogo, ni chakula tu, mavazi ya nini mke hata haruhusiwi kutoka nje, mnazaa hamna gharama za Ada za watoto wala picnic......tena Uislamu ulileta mwisho wake wanne ili kuwalimit watu, watu walioa hadi wake 20.
Turudi Afrika, gharama ya kuoa ilikuwa ni kumpa mke boma na Shamba, chakula angejitafutia mwenyewe......ndo maana kigezo cha uchapakazi kilikuwa muhimu kwenye kuchagua mchumba......Kwa hiyo mwanaume akiweza kukata Pori angejiolea atakavyo, hapo bado hajarithi wake wa ndugu zake.
Hakukuwa na gharama za mavazi, Ada za watoto, mawigi wala picnic za Zanzibar.
Sasa hivi maisha yamebadilika, gharama za maisha zimepanda......is wake wengi kila mtu anataka mwanae asome Tusiime, kila mtu anataka less wig la milioni, huyu ukimnunulia gari na huyu anataka......afu uwaweke nyumba moja🤣🤣🤣🤣 huyo mmoja tu mnakataa ndoa🤣
Mkuu Embu Toa hitimisho sasa?Wataoneana wivu, endapo mmoja anakata viuno ka feni mbofu na kutoa mlio ka wa lori la FIAT likipanda mlima ili hali mwenzie ni kama wale wa ukanda ulee hawana mbwembwee, wanakwambia we tumia ukimaliza funika na hana ata miguno ya mahabati
unataka kusema mabibi zetu wa kale walikuwa na vinasaba vya mifugo?Wanawake wanaoolewa wengi kwa mtu mmoja wana vinasaba (DNA) vya mifugo or ni sex toys zilizopewa Uhai kama majaribio
je kwa mfalme suleimani? Wale wanawake wote kila mmoja alikuwa anafikiria mfalme akifika zamu yangu nimfurahishe ili anipe kieneo cha kusimamiaIngekuwa hivyo nyumbani kwa mtumwa wa Allah, ndugu Muhammad (la salaa allah ealayh wasalam) kungekuwa na platoon ya wanawake