Kwanini mwanaume mwenye wake wengi halali nao sehemu moja?

Kwa hiyo kipimo cha uhalali wa kuoa wake wengi ni kulala chumba kimoja?

Wanawake, pamoja na yote, yatupasa sisi wanaume tuishi nao kwa akili.

Hata kama mila na/au dini zinaruhusu bado sisi kama binadamu tuna hulka zetu zinazotofautiana.

Kinachozingatiwa hapo ni kanuni za maumbile na sio kwamba ukiwaoa basi wote watakuwa wanafanana katika hulka zao. Ni bora uwaweke tofauti inapobidi ili kila mmoja umtendee uadilifu kwa namna itakayomfaa.
 
hapo ndio shida yenu wabongo. Nauliza swali unasema ngono.
Kwann halali nao chumba kimoja au hata nyumba moja vyumba tofauti?
Ulishawahi kuona mwanaume mwenye wake wawili anakaa nao nyumba moja?
Ugumu unakua wapi wakati ni halali kidini na wamekubaliana?
Mbona mwaka alikuwa analala nao kitanda kimoja?
 
Ungeoa wake wawili halafu ndio ungejua.

Ulale na mama mwajuma, anataka ukuni, halafu kidawa hana mpango na yupo kwenye siku zake, umejiuliza hilo?

Sawa uwagonge wote, si vema wao kutizamana maumbile yao, haipendezi, wanawake wenye akili zao timamu hawawezi kubali.
 
Tatizo la watu mmeulizwa swali nanyi nauliza maswali. Kama una majibu toa sio unauzliza oh, mtume alikula 3some mara vijana mnaangalia ngono.

Mtoa mada kauliza kwanini hawalali pamoja? Yaani kama vile dini ilivyokubali kuoa wake zaidi ya mmoja na ikaandika, sasa je kwanini wasilale pamoja? Je, ileandikwa wasilale pamoja? Au ni utashi wa binadamu?. Acheni kurula ruka kama una majibu toa
 
Mkuu hili sio swali langu kabisa.

Yaani ni Hivi huyu sheikh ana uwezo ndio maana kaoa Mke wa pili, kinashonishangaza sijawahi kuona mwanaume mwenye Mke zaidi ya mmoja akilala nao ndani ya nyumba moja! Sijui kama umenielewa mkuu?
Shida ipo wapi Kwanini asilale nao nyumba moja? Achana na masuala ya gharama maana kwenda kumtafutia nyumba nyingine ni kuonyesha uwezo alionao.
Sasa swali kwanini hawezi kulala nao chumba kimoja?
Hukumwona shekhe Dr mwaka?
 
Jibu maswali acha kurukia mambo, achia sisi wakubwa wako, au mama yako ndio baba huja kulala mara chache.
Sio mama yangu hata mama yako alitombw.... ndio maana ukatoka wewe.
Kwahyo hao wote waliojibu hawana akili ? Au hao wote wameoa? Ujuaji mwingi kumbe umejaa mavi mpaka kwenye boksa .kama ulikuwa hujui si ungekaa kimya tu
 
Back
Top Bottom