PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,256
- 17,913
Jd alikuwa mke wake,huwezi fananisha na Dai tumia brain.Na Gadner alipiga nyimbo za Jd sana tu
Wapi nimewafananisha?
Jd alikuwa mke wake,huwezi fananisha na Dai tumia brain.Na Gadner alipiga nyimbo za Jd sana tu
Diva the bowse na mme wake walikwenda pale,na kuna wakati walisema kabisa wawakilishi kutoka wachafu media,akaenda Divanaona walimtuma mama dangote kuwakilisha.
sema jamaa kuna mda nao wana mashauzi sana, kama ni swala la ustaa, basi wangetuma hata managers wao walete salamu kwa niaba yao, angalau kuonesha kushirikiana na wengine kwenye majonzi na furaha, sio kujiona superbrand, hutak kuonekana public burebure, na sisi wote ni wa tz na matukio kama haya ndio huonesha thaman zetu kwa jamii.
Ila Ally kiba yuko humble sana Hana show off hata kuvaa misibani huvaa simple tu....Brand Brand mavi misibani.....