Ni dhahiri sehemu pekee atakayoalikwa Diamond ni ile inayohusu msanii mwingine wa Wasafi la sivyo huwezi sikia Diamond kawa invited kwenye event yeyote ile.
Clouds,EFM na Tv nyingine hawapigi nyimbo zake. Wasanii hawamualiki kwenye event zao. Na ukikuta msanii anasemwa basi jua ni Diamond Platnumz tu.
Akifanya kosa kidogo tu watamsema vibaya lakini wasanii wengine kama Kiba, Ommy Dimpoz watavungiwa wakikosea.
Why is this?
Clouds,EFM na Tv nyingine hawapigi nyimbo zake. Wasanii hawamualiki kwenye event zao. Na ukikuta msanii anasemwa basi jua ni Diamond Platnumz tu.
Akifanya kosa kidogo tu watamsema vibaya lakini wasanii wengine kama Kiba, Ommy Dimpoz watavungiwa wakikosea.
Why is this?