Kwanini Diamond Platnumz️ anatengwa na wadau kwenye ulimwengu wa muziki?

Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Thread ifungwe
 
Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Nas - Hate Me Now
 
Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Thread closed.
 
Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.
Yaani nimeclick 👍 hata kabla sijamaliza kuusoma uzi wako wote. Wivu na roho mbaya ndo sababu kuu
 
Ni wivu tu,ipo hv "people fear what they don't understand,hate what they can't conquer"
Diamond amebadilisha status quo ya game la muziki,wale walifikiri ndio wanastahili kuwa ma don wa game,hawaelewi imewezekana VP kijana wa Tandale ameweza kuwa music Mogul, tycoon wa bongofleva.
Billionaire wa music game!
Kijana ana pesa ndeefe,sasa wale waliokuwa wanaojiona wapo juu kstk industry kutokana na nafasi zao,ama watangazaji,au wamiriki wa vyombo vya habari,wamekuja kushituka kwamba mond haitaji kuwapigia magoti Ili kupata airtime,maana hata yeye anamiriki kituo Cha redio na tv,
Sasa hapo chuki inakuwa kubwa,wanaona wakimkaeibisha atazidi kuwa tajiri,lakini kumbe tayari ni tajiri,sasa hapo wanabski kwenye dilema.
Kingine,Mond dau lake kubwa,yeye ni brand,na Kuna bidhaa anazitangsza,sasa hawezi kwenda kwenye tukio linalodhaminiwa na bidhaa kinzani na ile anayoiwakilisha.

Perfect
 
Hata akiwa inveted na wasanii tofauti na wale wa wasafi haendi, juzi kawa invited kwa marioo na hajaenda. Sasa kama akialikwa haendi kwa nini waendelee kumpa mwaliko?
 
Barnaba anasema kabala hajatoa album alimfata kwanza diamond hadi jina la album diamond ndio alipendekeza, Jux ni washkaji na jux anasema urafiki ulianzia walipofanya ote ngoma (sugua).
Kwa kama msanii hasipo enda kwenye uzinduzi wa msanii mwenzake sio washkaji?

Kiba na Harmo hawajaenda kwenye uzinduzi wa Baranaba inamana Kiba na Harmo sio washkaji wa Barnaba. Okay Jux Kiba na Harmo hawa kwemda ina maana kiba na Harmo sio washkaji wa Jux. Why wengine iwe sawa ila akifanya Mondi ionekane tatizo.

Kuna ubaya msanii kupendekeza album ya msanii mwengine? Mana kuna wengine wanatungiwa mpaka nyimbo kupendekeza jina ya album just ni love tu.
 
Back
Top Bottom