NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 539
- 624
Diamond hakualikwa kwenye huo msiba!!!Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.