Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 852
- 1,893
Hello.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.
Kwanini Diamond platnumz na Timu yake ya Wasafi ikiundwa na Zuchu,lavalava imeonekana Wanajitenga sana na wasanii Wenzao sio kwenye misiba wala sherehe.
Au ndo masharti ya mganga wao.
Diamond Hajaonekana kwenye msiba wa Gadner G habash.