Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 1,907
- 4,092
Maswali yangu
1) Ni Kampuni gani inaweza kunitungia Fibre au huduma ya internet kwangu ambayo Ni affordable zaidi
2) Je, kifurishi au package kwa mwezi inakuwaje
3) Je, idadi ya watumiaji ikiwa kubwa speed itaoungua ya internet mfano watu 5 hivi
MSaada tafadhali
1) Ni Kampuni gani inaweza kunitungia Fibre au huduma ya internet kwangu ambayo Ni affordable zaidi
2) Je, kifurishi au package kwa mwezi inakuwaje
3) Je, idadi ya watumiaji ikiwa kubwa speed itaoungua ya internet mfano watu 5 hivi
MSaada tafadhali