Plan Radeem King
Senior Member
- Mar 25, 2018
- 198
- 111
Tunakuja kusimika nguzo zingine 2
#RudiNyumbaniKumenoga
Free?
Tunakuja kusimika nguzo zingine 2
#RudiNyumbaniKumenoga
Naomba msaada...mwenye kujua indicative price ya hizi itemsNdio mkuu, ni FREE
#RudiNyumbaniKumenoga
Njoo TTCL mzee baba. Inategemea unataka COPPER au FIBER?
Kama ni Fiber bei ni kama ifuatavyo;
20/10 Mbps ni 55k
40/20 Mbps ni 100k
60/30 Mbps ni 150k
100/50 Mbps ni 200k
UFUNDI ni Bure na utafuatwa mpaka hapo ulipo.
KUhusu vifaa inategemea kama una haraka nunua kama unasubiria ni sawa.
0738353511 hiyo ni maalum kwa TTCL Customer Care upande wa WhatsAppMawasiliano yako kaka au ya huduma kwa wateja naomba
Acha tuu mkuu wazinguaji sanaaTtcl wanazingua huu ni mwezi wa pili sijawaona...
Au wamezidiwa na wateja?A
Acha tuu mkuu wazinguaji sanaa
Mcheki huyu jamaa 0718814556Naomba msaada...mwenye kujua indicative price ya hizi items
1. PTP 300Mbps
2. Cat5e/Cat6 STP Ethernet cable 23AWG double shielded
3. 4 ports dual band wireless router with vlan.
Asante sna.
Ni mpaka maeneo yanapo patikana ttclMawasiliano yako kaka au ya huduma kwa wateja naomba