Maalumu kwa watumiaji wa Home Internet (Wi-Fi)

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,714
9,849
Habari za muda huu wakuu?

Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi?

a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k

Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali idadi ya GB zilizotumika?

Ipi kati ya hizo namna mbili ni sahihi?

Na je, kampuni ipi inatoa huduma nzuri?
 
Habari za muda huu wakuu?

Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi?

a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k

Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali idadi ya GB zilizotumika?

Ipi kati ya hizo namna mbili ni sahihi?

Na je, kampuni ipi inatoa huduma nzuri?
Tumia TTCL bei ya chini kabisa 60000/- lkn kwa nyumbani inatosha inakuwa unlimited. Pia kuna zuku na konnect. Konnect inakuwa kwa satellite. Lakn maeneo ya mjini ndo utazpata
 
Habari za muda huu wakuu?

Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi?

a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k

Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali idadi ya GB zilizotumika?

Ipi kati ya hizo namna mbili ni sahihi?

Na je, kampuni ipi inatoa huduma nzuri?
Natumia TTCL malipo ni kwa speed bila kujali utatumia GB ngapi kwa mwezi hata ukitumia TB haikati.

40Mbps ni 100,000/= kwa mwezi

60Mbps ni 150,000/= kwa mwezi.

100Mbps ni 200,000/= kwa mwezi.

Ila hata cha bei ya chini kina speed nzuri kwa matumizi ya nyumbani.
 
Natumia TTCL malipo ni kwa speed bila kujali utatumia GB ngapi kwa mwezi hata ukitumia TB haikati.

40Mbps ni 100,000/= kwa mwezi

60Mbps ni 150,000/= kwa mwezi.

100Mbps ni 200,000/= kwa mwezi.

Ila hata cha bei ya chini kina speed nzuri kwa matumizi ya nyumbani.
Mbna kuna 10mbps ambayo ni 60000/- kama cjasahau
 
Natumia TTCL malipo ni kwa speed bila kujali utatumia GB ngapi kwa mwezi hata ukitumia TB haikati.

40Mbps ni 100,000/= kwa mwezi

60Mbps ni 150,000/= kwa mwezi.

100Mbps ni 200,000/= kwa mwezi.

Ila hata cha bei ya chini kina speed nzuri kwa matumizi ya nyumbani.
TTCL mpaka waje kukufungia fiber labda uwe na sura yenye kufanana na kiongozi wa serikalini
 
Habari za muda huu wakuu?

Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi?

a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k

Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali idadi ya GB zilizotumika?

Ipi kati ya hizo namna mbili ni sahihi?

Na je, kampuni ipi inatoa huduma nzuri?
Hauko sahihi, hizo bando ni unlimited

Mi natumia mpka 700gb kwa mwezi!
 
Kwa hyo ni kipengele?
Tangu Fiber haijarahisishwa bei, tulianza ku request Copper lakini tulikaa mwaka hakuna hata surveyors waliokuja

Siku naenda ofisini kwao kufatilia nikakuta Fiber ndio ipo sokoni kwasababu ya serikali kushusha bei.

Wakasema wanakuja kunifungia Fiber, ni mwaka wa pili sasa
 
TTCL mpaka waje kukufungia fiber labda uwe na sura yenye kufanana na kiongozi wa serikalini
Hiyo ilikuwa zamani sasa hivi wanakufungia wiki moja baada ya kujaza fomu zao.Hapa wilayani wameshafungia zaidi ya wateja 30 kwa kipindi cha miezi miwili tu.
 
Hiyo ilikuwa zamani sasa hivi wanakufungia wiki moja baada ya kujaza fomu zao.Hapa wilayani wameshafungia zaidi ya wateja 30 kwa kipindi cha miezi miwili tu.
Zamani ya lini wakati Fiber imerahisishwa juzi hapo?

Mimi nimejaza fomu zaidi ya mara tatu, wanapiga simu napokea wanasema wanakuja lakini hakuna anayekuja.

Nimeenda ofisini kwao zaidi ya mara mbili wananiambia surveyor atakupigia simu, siku zinapita hakuna simu.

Siku nimepigiwa simu namuelekeza eneo langu ambalo nipo (na ndio nililojaxa hata kwenye fomu) nashangaa ananiambia yeye ni surveyor wa Kariakoo hivyo hausiki na eneo langu

Mimi nikamuambia basi kwasababu wewe upo hapo ofisini basi wasilisha kwa surveyor wa eneo langu akasema hiyo sio kazi yake hapo ni mpaka nikajaze fomu upya. Nikaona ni upuuzi
 
Zamani ya lini wakati Fiber imerahisishwa juzi hapo?

Mimi nimejaza fomu zaidi ya mara tatu, wanapiga simu napokea wanasema wanakuja lakini hakuna anayekuja.

Nimeenda ofisini kwao zaidi ya mara mbili wananiambia surveyor atakupigia simu, siku zinapita hakuna simu.

Siku nimepigiwa simu namuelekeza eneo langu ambalo nipo (na ndio nililojaxa hata kwenye fomu) nashangaa ananiambia yeye ni surveyor wa Kariakoo hivyo hausiki na eneo langu

Mimi nikamuambia basi kwasababu wewe upo hapo ofisini basi wasilisha kwa surveyor wa eneo langu akasema hiyo sio kazi yake hapo ni mpaka nikajaze fomu upya. Nikaona ni upuuzi
Naona wanatengeneza mazingira ya uwape chochote kitu.
 
Back
Top Bottom