Jinsi ya kupika biriani ya kawaida

Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.

Moja kwa moja niingie jikoni

MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida

wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni

Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,

Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga

Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.

Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Mchele special au huu huu wa Morogoro?
 
Habari, natumaini nyote mko poa
Leo tutajifunza simple biriani waweza pika mahala popote.

Moja kwa moja niingie jikoni

MAANDALIZI.
kitunguu thoumu
Tangawizi
pilipili manga ya unga
binzari nyembamba
Abdala sinni
chumvi
Nyama mbichi
Maziwa
Tomato past
Karoti
Nyanya ya kawaida

wazichanganya kwenye sufuria moja then watia jikoni

Kisha wapika wali ambao watia rangi mbili,

Viazi watia rangi,chumvi kisha wakaanga

Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya kwenye mchuzi wako.

Mpaka hapo biriani liko tayari kuliwa.
Kitunguu maji wakaanga halafu wachanganya 'kwenye mchuzi wako". Huko kote nimeweza ila hapo kwenye mchuzi wako ndipo nimekwama, nimeshindwa kuupata.
 
Acheni kuchanganya changanya mavitu alafu mnakula. Wazee wetu walikua wanakula mizizi na nyama tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom