The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,349
- 51,842
Sio sahihi kusema Abdala sinni
Usahihi inaitwa Mdalasini ''Cinnamon''
Usahihi inaitwa Mdalasini ''Cinnamon''
Sio watia, sema una weka brother. Mi na wewe hiyo ladudhi hatu iwezi😆🤓Watia jikoni kwa muda gani?
Wali watia rangi mbili zipi rafiki?
Hizo rangi rangia WATIA toka wapi na ni rangi gani?
Ila hizo mchanganyiko kupata si mchezo...
Nielekeze nipike muda huu rafiki.
Send me ka kitu kadogo, hizo zote nazo pata 🤓Ok,nimeelewa ni rangi zenye taste.
Wait nikatafute rangi,
Hazina lugha nyingine?
1.binzari nyembamba
2.Abdala sinni
Kutopata hizi naona sitokamilisha biryan,nitapika vitu za ajabu.
Naki penda Sana, ila labda rafiki yangu Nuzulati apike Kisha ani alike 🤓Chakula wapendacho kina Depal na chinga Intelligent businessman
Ya zamani hayo, siku hizi tunapika vyote tena kuwazidi hata hao wa pwani wenyewe.Haya mambo ya pwani . Huku bara waambie machalari, kitheri, kitawa .Ng'ande la binsi, kiburu, umberere n.K.
Afadhali mwanetu, tusjije tengeneza bomu maghetoni🤓😆Tamko langu rasmi kwenye mapishi litatolewa na Aaliyyah
Ndio nimejaribu the way mleta thread ame flowSio watia, sema una weka brother. Mi na wewe hiyo ladudhi hatu iwezi😆🤓
Nime ivisha kashata, vipi niku tilie😆🤓Ndio nimejaribu the way mleta thread ame flow
Nafikiria nikifika kwa store nitaelezea vipi hivyo vitu viwili ninavyohitaji.🤣Send me ka kitu kadogo, hizo zote nazo pata 🤓
Kashata naifahamu vizuri tu,hapa kijiweni tandale nakula kila siku.Nime ivisha kashata, vipi niku tilie😆🤓
Mi pilau tu sijawahi lipika 🤣ndo iwe hyo BiriyaniAfadhali mwanetu, tusjije tengeneza bomu maghetoni🤓😆
Wali ndo na ufundi, ila chumvi lazima I miss😆🤓Mi pilau tu sijawahi lipika 🤣ndo iwe hyo Biriyani
Kwa huko zulu natal, zi google picha zake Kisha nenda super market.Nafikiria nikifika kwa store nitaelezea vipi hivyo vitu viwili ninavyohitaji.🤣
Kakitu kadogo kataishia njiani