Live Japan Auctions
Member
- Jul 26, 2021
- 63
- 90
Asente kwakunielewa, naomba unisaidie baada y akuingia kwenye website yetu umekwama wapi ili tupafanyie kazi inawezekana kuna watu wengi wanakwama kama wewe wanashinwa kutoa mrejesho kama wewe ulivyo nisaidia kuniamba tatizo , jambo la pili kwenye biashara za kutanguliza pesa office peke yake sio security mzuri.Okay nimekuelewa kuwa mna act kama middle man kufanikisha biashara.
Sina tatizo na bidhaa nyingine na pia na jukwaa lenu nimeingia kwny link sijaielewa.
Ishu yangu ni hawa wauzaji magari walioibuka kama uyoga wanaliza sana watu hasa hasa kina dada na watu wa maofisini....
Wanakuambia lipia nusu then unamalizia gari ikifika na wanakusajilia na kukukatia bima bure ili hali washakuchapa hela na gari unaletewa magumashi kabsa.....