Care Giver
Member
- Apr 2, 2024
- 51
- 177
Habari wakuu,
Swala la "single mothers" nadhani sio geni kulisikia maskioni mwetu, hapa nazungumzia mwanamke aliyezalishwa na kuterekezwa na mwanaume wake. Hali inayompelekea kulea mtoto peke yake bila mchango wa mwanaume aliyemzalisha.
Hoja yangu inakuja kwenye huyo mtoto aliyezaliwa haki zake kwa baba yake hapo imekaaje?
1. Je ikatokea huyo mwanaume akafunga ndoa na mwanamke mwingine. Sheria inamlinda vipi huyu mtoto?
2. Je kama ikitokea swala la kifo kwa baba sheria itamtambua huyu mtoto kweli? Au ndio imekukla kwake.
Maana naona kama wimbi la hawa watoto linaongezeka kwa kasi. Ebu wajuzi wa sheria mtusaidie kwa ufafanuzi kidogo ili kuwaokoa hawa watoto ili hawa single mothers wapate hints.
Kulea mtoto mzazi mmoja bila usaidizi wa upande wa pili ni changamoto mno, hakika tuwape maua yao.
Nawasilisha kwenu..
Swala la "single mothers" nadhani sio geni kulisikia maskioni mwetu, hapa nazungumzia mwanamke aliyezalishwa na kuterekezwa na mwanaume wake. Hali inayompelekea kulea mtoto peke yake bila mchango wa mwanaume aliyemzalisha.
Hoja yangu inakuja kwenye huyo mtoto aliyezaliwa haki zake kwa baba yake hapo imekaaje?
1. Je ikatokea huyo mwanaume akafunga ndoa na mwanamke mwingine. Sheria inamlinda vipi huyu mtoto?
2. Je kama ikitokea swala la kifo kwa baba sheria itamtambua huyu mtoto kweli? Au ndio imekukla kwake.
Maana naona kama wimbi la hawa watoto linaongezeka kwa kasi. Ebu wajuzi wa sheria mtusaidie kwa ufafanuzi kidogo ili kuwaokoa hawa watoto ili hawa single mothers wapate hints.
Kulea mtoto mzazi mmoja bila usaidizi wa upande wa pili ni changamoto mno, hakika tuwape maua yao.
Nawasilisha kwenu..