Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,946
- 3,624
HAKIKA NIMEJIONEAHili linaitwa fridge la mwendo kasi....
Mgeni akija kwangu ni Kata mti panda mti
HAKIKA NIMEJIONEAHili linaitwa fridge la mwendo kasi....
Mgeni akija kwangu ni Kata mti panda mti
Tutanyoooka tunyoooshe baba nakuaminiaaaHapa ntrudi.
Ngoja nifike nyumbani kwanza....
Can’t wait to show off my stainless steel appliances.
Get the strap baby!!!
Perfect...sweet fruits kawaida zinapaswa kutunzwa nje ya fridge
Au muwe familia ya watu wengi au mnabeba take away mkitoka vinaisha..Mkiwa wachache afu hamshindi nyumbani lazma viharibikeKwa haya mafriji labda niwe mke wa mwarabu naamka asubuhi kupika tu hadi jioni ila kwa maisha haya ya home kurudi jioni hivyo vitu vitabaki like that for ages!
Wekeni mafriji wakuu
Hehehe me nayaangalia tu hapaWekeni mafriji wakuu
Yaani mpaka nafika page ya tano mafriji niliyoyaona ni mawili tu ya mtoa mada na member mmoja tu, jamani mmeambiwa muweke picha ya mafriji yenu mbona hatuyaoni wakuu!
Friji ninalo basi..we unadhani kila mtu Jf ana hilo friji??
Mafriji ya awamu hii ya tano ni matupu kwanza hayawashwi kila wakati
halafu ujue kuna baridi sana tunatumia zaidi vitu vya moto.️️
Subiri labda msimu ujao wa joto tutaweka picha za ndani ya friji kwa sasa labda tuweke picha za friji kwa muonekano wa nje
Rafiki am missing you now!
Iyo Roho ni uswahili sanaase Wakuu mnawezaje kutunza had vinywaji ?
yan mimi nikiweka hata soda mbili tu usiku sipati usingizi nabaki kulizunguka friji
Roho inanambia "my bro stop cheating your self kunywa izo soda ulale""
Saiv friji limebaki la kuwekea makabichi tu
missing u more rafiki...Rafiki am missing you now!
Rafiki kama hiyo picha hapo kwenye avatar yako ni wewe walahi ulivyo mzuri huna hata haja ya kuwa na chura!missing u more rafiki...
umepotelea kune chura nini?
6