Nasubiri uweke lakwako
Yaani mpaka nafika page ya tano mafriji niliyoyaona ni mawili tu ya mtoa mada na member mmoja tu, jamani mmeambiwa muweke picha ya mafriji yenu mbona hatuyaoni wakuu!
Mie sina piaMi sina bana!
Mie sina pia
Ah ah ah bili ije kwako mana mim nimeyumba sana kiuchum jiran yanguAsante Ambiele..hebu muite waiter azungushe...
Mafriji ya awamu hii ya tano ni matupu kwanza hayawashwi kila wakati
halafu ujue kuna baridi sana tunatumia zaidi vitu vya moto.️️
Subiri labda msimu ujao wa joto tutaweka picha za ndani ya friji kwa sasa labda tuweke picha za friji kwa muonekano wa nje
NalijuaMlandizi stand kuna ghorofa siku hizi.
MKUU HAPO FRIJ NI LIPI USHAMBAA HUU CJUI LIMEANZIA WAP NA KUISHIA WAP
Mwambie unataka kununua kama lake; wabongo tunavyopenda sifa atakuruhusu kwa moyo mkunjufu...HUU UZI HAKIKA NIWAKUUMIZANA....YAN MNAVYOZIDI KUTUPIA MTANIFANYA NAMIMI NIENDE KWA JIRAN NIKAPIGE PICHA FRIJI LAKE JAPO CJUI NTAANZAJE CJUI ATANIONA MWANGA NA VILE ANAVYO NIHISIGI
Kwa haya mafriji labda niwe mke wa mwarabu naamka asubuhi kupika tu hadi jioni ila kwa maisha haya ya home kurudi jioni hivyo vitu vitabaki like that for ages!
Hili linaitwa fridge la mwendo kasi....MKUU HAPO FRIJ NI LIPI USHAMBAA HUU CJUI LIMEANZIA WAP NA KUISHIA WAP