miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
bora umekuwa mkweli...bahati yako!Zurie unataka tuumbuane eeh. Langu liko na mma tuu
Wewe mbona haujaweka!Wekeni mafriji wakuu
Umenikumbusha uzi mmoja ukiwahi kuletwa humu kuwa ukikuta ndizi na tango kwenye friji ya mwanamke ambae hajaolewa chonde chonde usitumie..
Hilo kopo lenye mistari ya kijan ni nini kipo ndani?Nimeenda kwa rafiki yangu nikafungua friji lake nikajionea maajabu ya dunia. Mambo ya aibu kwa mtoto wa kike
Hata friji la nyumbani kwa mama huwa nahangaika sana kupanga, kutoa vitu visivyo muhimu. Unakuta mboga imebaki kidogo tu dada kwa uvivu anatia hotpot lote kwenye friji au hata sufuria.
Vitu vingine vinasahaulika humo hadi havifai tena.
Kinachonikera kuliko vyote ni kuweka mavituvitu bila kufunika. Friji linanukia ovyo ovyo.
Haya mimi naweka langu; sasa hivi ni high season flani so limenona kidogo(teh teh).
Naruhusu michango na marekebisho nitayafanyia kazi.
Naomba utuoneshe friji lako au hata utuambie lina nini hivi sasa?
View attachment 820368View attachment 820369
Ukiwa mlandizi unayaona maghorofa ya wapi ?Nipo mlandizi asee ndo nakaribia karibia nayaona maghorofa kwa mbali sanaaaaa
Hahahahaaa. Langu ina mboga tu wallah. Pombe nayokunywa hakai kwa fridgebora umekuwa mkweli...bahati yako!
Uuuwiiiiii Zurie unajua utanichumbia ati!!! Ila na kuchangamka Pia ee?Yanaongeza nguvu za kujenga nchi