The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,011
- 4,203
Citi golf hapo huniambii kitu, huyu ni mchumba wakijerumani, kwenye series ya mk nimependa hii series ya mk4 ijapokuwa mk 7 na mk 8 zimetulia, sema hizi gari kwa South Africa mk 7 na mk8 ni risk sana kumiliki hata uwe na bastola wajanja wanaondoka na hii gari. Ndio gari zinazoongoza kuibiwaMkuu Golf baby walker 😂😂 Vitamu sana ivo. MK ngapi maana wana generations zao wanaziname MK sahivi nadhani wapo MK8
Sema citi golf bongo sijawahi kukutana nayo