DIKASHWA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 376
- 955
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kuuza magari huko duniani, nimegundua ukiachana na Toyota na Magari ya ulaya bei zake sio rafiki kwetu dunia ya tatu
Nimegundua Mazda wana brand nzuri za Magari very economical and very reasonable price,
Mfano Mazda Cx-5 ya mwaka 2012 bonge la SUV mwonekano mzuri kuliko hata rav 4 au harrrier au kulger hadi unalo mkononi milion 22 kibongobongo nimelifuatilia kwa forum ya users wamelipendekeza fuel economy coz town trip km 12 per lita na lita 7 kwa km 100 high way.
Je, kwanini w hatupendi brand kama hizi ila tunachagua Toyota unakuta gari la miaka 20 iliyopita bei juu.
Wataalamu, Mazda zinashida gani kwa upande wa spears na maintainance.
Nimegundua Mazda wana brand nzuri za Magari very economical and very reasonable price,
Mfano Mazda Cx-5 ya mwaka 2012 bonge la SUV mwonekano mzuri kuliko hata rav 4 au harrrier au kulger hadi unalo mkononi milion 22 kibongobongo nimelifuatilia kwa forum ya users wamelipendekeza fuel economy coz town trip km 12 per lita na lita 7 kwa km 100 high way.
Je, kwanini w hatupendi brand kama hizi ila tunachagua Toyota unakuta gari la miaka 20 iliyopita bei juu.
Wataalamu, Mazda zinashida gani kwa upande wa spears na maintainance.