Hapa nawaachia wanaoijua vizuri dini mtoe maoni yenu. Rasta Yuko sahihi ?

Kama kuna ukweli fulani hivi!.

Ila naweka dot. huyu mwamba kama atakuwepo hadi mwisho wa mwaka basi nitafuata njia nikapate 7 mara 10!.
Mbona utabiri mbaya sana huu Ndugu, kulikoni hadi iwe hivyo? Mungu amlinde, Amina.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ni kweli kabisa! Quran iliandikwa na waandishi wanne miaka zaidi ya 150 baada ya Kifo cha mtume wa Allah!
Akiwa pangoni hakupewa Kitabu!
 
Huyo rasta hajielewi hija zake nyepesi sana.
Pia si mzanzibar ni mmakonde wa ntwala
Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli...
 
Huyo rasta hajielewi hija zake nyepesi sana.
Pia si mzanzibar ni mmakonde wa ntwala
Yaani kutojielewa kwake ni mara 💯 kuliko kujielewa kwenu jamaa ameanza kujitambua yeye ni nani na hayupo brain washed kama watu wa dini hiyo inaitwa ni kutafuta Consciousness
Huyo jamaa kiakiri na kiroho yupo njema sana,
Stage aliyoanzia ndio nilianzia mimi kutoka out of Religion dogmas
Mpaka nilipokuja kuijua kweli inayoniwezesha kugain
High Spiritual Enlightenment!

Now nipo viwango ambavyo angalau Manabii wa kale waliweza kufanya,
Ingawa sijisifii ila tatizo hii knowledge ukieleza watu kama nyie hamuwezi kuelewa maana masuala ya kiroho hamjaadvance,
Usione kina Mwamposa wanafanya vitu ambavyo vinavutia maelfu ya watu kuna siri ya kiungu ambayo bila kujitoa hutakaa ujijue kamwe na hii ndio siri ya kutawala ambayo Bwana Yesu Kristo alikuja kutufunulia ila kwa sababu tangu Mwanzo wanadamu' ni wabishi na wanampinga Mungu na Roho wake Mtakatifu hii siri inashikiriwa na wachache waliojishusha kama watoto wadogo kupokea maarifa mapya ndio wanaipata nyie wabishi kama mafarisayo na masadukayo endeleeni kupinga muendelee kua watumwa wa mwili na Roho!

Secret of Immortality!

Siwezi share na ngumbaru!
 
Kwanza huyu rasta atuambie Mzimu ni nini, kisha atuambie amejuaje kama huyo aliyemtokea Mtume ni Mzimu.
Tuambie wewe aliyemtokea mtume wenu kule pengoni ni nani ?
Ni kwanini hakujitambulisha ?
Ni kwanini alimkaba na kumpiga mtume hadi akaugua ?
Ni kwanini alimlazimisha kusoma wakati alikuwa hajui kusoma ?
Yeye mwenyewe mtume wenu alikili mbele ya Walaga bin Naufal kuwa kule pangoni alihisi kutokewa na Mashetani.
Wewe tuambie unampinga vipi
mtume wako aliyekuwepo kule pangoni ?
Someni kitabu cha hadithi za mtume wenu halafu mkitafakari.
Ukweli ni kuwa kule pangoni mtume wenu alitokewa na Majini, ndio maana hayakujitambulisha.
La mtuambie hao masharifu wenu wanaijua dini bila kusoma wanaihifadhi Qurani yote kichwani, kwa kuwezeshwa na nani ?
Mbona mwishoni wanaishia kuwa waganga wapiga ramli na warozi, na kujiita shehe sharifu majini..!
Tunaongea hivyo ili mpate muda wa kutafari na kutambua.
Mtume alikuwa kama hao ma Shehe Sharifu majini wenu, waliompa utume ni (ashakum) majini Sharifu.
Soma hapa
فَلَا أُقْسِمُ بِرَبِّ الْمَشَارِقِ وَالْمَغَارِبِ إِنَّا لَقَادِرُونَ

(AL - MAA'RIJ - 40)
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
{Ni nani anayezungumza hapo? au basi Surat Fatiha yote, ni nani anaongea? }
Jibu ni Majini wanao ongea kama sisi au nasi.

وَأَنَّا مِنَّا الصَّالِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَٰلِكَ ۖ كُنَّا طَرَائِقَ قِدَدًا

(AL - JINN - 11)
Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.

وَأَنَّا مِنَّا الصَّالِحُونَ وَمِنَّا دُونَ ذَٰلِكَ ۖ كُنَّا طَرَائِقَ قِدَدًا

(AL - JINN - 11)
Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.

مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. "Nasi" tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

وَأَنَّا ظَنَنَّا أَن لَّن نُّعْجِزَ اللَّهَ فِي الْأَرْضِ وَلَن نُّعْجِزَهُ هَرَبًا

(AL - JINN - 12)
"Nasi" tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.

وَأَنَّا لَمَسْنَا السَّمَاءَ فَوَجَدْنَاهَا مُلِئَتْ حَرَسًا شَدِيدًا وَشُهُبًا

(AL - JINN - 8)
Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.

(Tafakari hao wanaojiita "nasi" au "sisi" katika Qurani ni akina nani ?
Usinichukie mimi, jibu hayo maswali.
 
Yeye mwenyewe mtume wenu alikili mbele ya Walaga bin Naufal kuwa kule pangoni alihisi kutokewa na Mashetani.
Wewe tuambie unampinga vipi

Haya Mtume aliyasema wapi ? Kwenye kitabu gani Mtume alisema kwamba alihisi kutokewa na Shetani ? Mbona unakuwa mjinga mpaka unapoteza ladha ya mjadala.

Waraqah (Sio Walaga) alimwambia nini Mtume baada ya Mtume kukutana nae ?
 
Ukweli ni kuwa kule pangoni mtume wenu alitokewa na Majini, ndio maana hayakujitambulisha.
Thibitisha ya kuwa yule alikuwa Jini.

Hii sio Hoja kwani liko wapi sharti la kwamba lazima ajitambulishe. Malaika Jibril amewatokea mitume wapi alijitambulisha kwamba yeye ni Jibril. Unajua ni kwanini Waraqah alimuamini Mtume na kujua ya kuwa yule ni malaika Jibril ? Sababu Waraqah alikuwa na elimu juu ya vitabu vya kale hasa Injili, akamwambia huyo ni Malaika Jibril na huwa anawatokea mitume.
 
La mtuambie hao masharifu wenu wanaijua dini bila kusoma wanaihifadhi Qurani yote kicheani, kwa kuwezeshwa na nani ?

Hao Masharifu hawatambuliki katika Uislamu, bali watu wanawatumia hao watoto katika kuwatapeli watu. Achana na hizo habari, jikite kwanza kwenye mada ya msingi.
 
Soma
Haya Mtume aliyasema wapi ? Kwenye kitabu gani Mtume alisema kwamba alihisi kutokewa na Shetani ? Mbona unakuwa mjinga mpaka unapoteza ladha ya mjadala.

Waraqah (Sio Walaga) alimwambia nini Mtume baada ya Mtume kukutana nae ?
Soma kitabu cha Maisha ya Mtume Muhammadi.
Ndicho kimeandika hivyo.
Usitukane Soma hicho kitabu kinaeleza hivyo.
Mtume alikiri hivyo mbele ya mkewe Hadija na Walaga Bin Naufal.
Ndipo Walaga akamwambia mtume.

"Yule aliyekutokea pangoni ni Malaika Gabriel, hivyo nakubashiria kuwa mtume nami nitakuwa upande wako wa kulia wakati ukiutengeneza umma wako"

Jiulize kwanini huyo Malaika hakujitambulisha hivyo kwa Muhammadi?
Hadi aambiwe na Walaga ambaye alikuwa ni mpiga faraki yaani mpiga ramli ?

Wacha jazba kesho kitafute hicho kitabu ukisome halafu uje ulete mlejesho humu.
 
Thibitisha ya kuwa yule alikuwa Jini.

Hii sio Hoja kwani liko wapi sharti la kwamba lazima ajitambulishe. Malaika Jibril amewatokea mitume wapi alijitambulisha kwamba yeye ni Jibril. Unajua ni kwanini Waraqah alimuamini Mtume na kujua ya kuwa yule ni malaika Jibril ? Sababu Waraqah alikuwa na elimu juu ya vitabu vya kale hasa Injili, akamwambia huyo ni Malaika Jibril na huwa anawatokea mitume.
Kwahiyo Malaika amtokee Mtume Muhammadi, badala ya kujitambulisha kwa Muhamadi ajitambulishe kwa Walaga Bin Naufali.
Ambaye hakuwepo kabisa kule pangoni.
Na wewe unaamini hivyo
 
Tunsaoma kila uchwao, sisi sio kama nyinyi vichwa Mchungwa. Onyesha wapi Mtume alisema hicho ulichokiandika wewe. Taja jina la kitabu.
Soma kitabu cha Maisha ya Mtume Muhammadi.
Kimeandikwa na Waarabu wa Maka.
Ndugu zake Mtume wenu.
 
Back
Top Bottom