Tukisema, ukristo umevamiwa na manabii na mitume wa uongo, watu tuwe tunaelewa. Hawa wameletwa makusudi na shetani, wamepewa nguvu za miujiza na shetani, na kujivika vazi la “ulokole” wakati wao sio walokole, ili kuchafua image yote ya ulokole/wokovu watu waamini miujiza na motivational speeches...
Filamu zote ni maigizo na sio uhalisia halisi wa maisha. Lakini katika ulimwengu wa filamu, mara nyingi tunakutana na uongo ambao hauna maana.
Mimi nilikua nafuatilia sana movie za kihindi ila kwa sasa huwezi nikuta naangalia tena kwa sababu aisee wale jamaa ni waongo mpaka mtu unaweza kujiona...
Hebu angalia Tangazo lao
Halafu angalia walichokifanya nusu saa kabla ya muda
Hii ni Aibu kwao na Mamlaka zinazowasimamia
Nimeweka ushahidi huu ili kuondoa uongo uongo kwenye masuala ya msingi, hizi hela tunazoweka humu si zao ni zetu wajaribu kutuheshimu
Tabu zetu zimetunyanyasa kwa kiwango kikubwa kupelekea kuwa wahanga wa watu wanaotutumia sisi kama fursa na wale wanaomtukuza shetani wao kupitia huduma wanazotufanyia.
Kwanini wanajiita manabii? ina maana miaka ya 2000 kurudi nyuma hawakuwepo au hawakutosheka kujiita "mchungaji". Jibu rahisi...
Ifike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .
Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa...
Hepuka ushauri na kujifunza kwa watu ambao wanafeli mfululizo na muda wote wanapambana kifedha bila mafanikio.
Jifunze kwa watu wanaofaulu kihalali, watu wambao wamejijengea mifumo yenye kuleta ufaulu hata kama hawajasoma. Jifunze nidhamu zao, lugha zao za mwili, namna wanavyoendesha mambo...
Igweeeeeee
Eid Mubarak kwenu nyote. Maaake kwanza ncheke. Umewahi kujikuta unajua au unaimba wimbo flani kila mara ukihisi ndo maneno/lyrics sahihi lakini siku unakuja kuziona lyrics zenyewe unabaki kujicheka tu 😅😅😅
Mimi imeshanitokea mara nyingi sana lakini ya recently kabisa ni huu wimbo wa...
Israeli parliament passes law paving the way for Al Jazeera closure
Prime Minister Benjamin Netanyahu promises to use the law to shutter local operations of Al Jazeera.
Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has promised to “act immediately to stop” Al Jazeera’s operations in the country...
Wakuu habari?
Natumaini wote mko wazima huku mkijiandaa kusherehekea ufufuko wa bwana.
Humu ndani kuna mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo; ukisoma mstari wa kwanza mpaka wa mwisho, unakuta hakuna uhalisia wowote.
Ebu tuwataje hawa mabingwa, ikiwezekana wapate pepsi kwa gharama ya mifuko...
Picha inayosambazwa mtandaoni ikidaiwa kua ni raisi mteule wa senegal enzi hizo akiwa shambani na mke wake.
Kwa akili ya wastani tu hata ukiwaangalia hawa ni qatu wawili tofauti.
Picha ya kijana anaelima ilitumwa mwaka 2021 katika ukurasa wa facebook wa Zambia report, post hiyo yenye picha...
Rais wa Korea Kusini Yoon Suk Yeol akiwa katika Mkutano wa Tatu wa Demokrasia uliofanyika Machi 18, 2024 ametoa wito kwa viongozi wote Ulimwenguni kuunga mkono jitihada za kukomesha taarifa potofu
Yoon ameeleza Taarifa zisizo za kweli wakati wa Uchaguzi huweza kuathiri mchakato mzima wa...
Kama una date dem wa kinyakyusa hakikisha hatokei Kyela. Wanawake wa Kyela wana viburi sana alafu wanabishana sana, anaweza kukufokea hadharani ukabaki unajilaumu kwanini ulioa. Alafu wanapiga juju hao balaa, unaweza jikuta unamtumikia.
Wakati wa Kampeni cha Uchaguzi, baadhi ya Wagombea hutumia mbinu za kuzusha Uongo kwa kuwadanganya Wananchi ili kuongeza Ushawishi wa Kuchaguliwa
Je, Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?
"Ukweli ni kwamba siyo kwamba Watanzania wana Furaha bali wana Amani ambayo inapelekea Wao kuridhika haraka na kila Wanachokikuta na Wanachokipata kutokana na Umasikini wao Waliouzoea ila kiuhalisia wengi Wao wamekuwa Wakikereka na Maisha yao magumu yasiyo na Ufumbuzi hadi wameamua Kuyafurahia...
Hao wanaume wa kuchagua mbona hawaonekani? Waliopo mtaani ni hawa hawa akina Juma Hali Ngumu bin Full Ma-stress.
Halafu kibaya zaidi wanaopendwa ni walioishia la saba na form 4. Je, wazazi wote wakamatwe kwa uongo huu ama tumwachie Mungu?
Kuna watu humu ndani wamekuja na hoja mbalimbali za ndoto na kutafsiri ndoto
Biblia imeeleza waziwazi kwamba hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kutafsiri ndoto
Tujifunze kisa cha Yusufu kwa Pharaoh na Daniel kwa Nebuchadnezzar. Hao wote wawili waliwaeleza wafalme kwamba hakuna mwanadamu mwenye...
Kupata habari ndani na nje ya mtandao imekuwa sehemu ya maisha yetu, ni kawaida kwenye mitandao ya ijamii na kwenye makundi sogozi ya WhatsApp, Facebook na Telegram kukutana na habari za uongo au zinazotia mashaka.
Je, huwa unachua hatua gani unapokutana na habari za uongo au zinazokupa mashaka...
Nyakati za Uchaguzi zimekuwa chanzo cha mlipuko wa habari nyingi potofu. Makundi mbalimbali yamekuwa yakipotosha kwa makusudi ili kuwadunisha au kuwanufaisha Wagombea na Vyama vya Siasa.
Mwandishi wa AFP, anawatahadharisha Wanahabari kuwa makini zaidi na habari na madai yanayozuka wakati huu...
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Bwana. Albert Chalamila amesema yeye hawezi kua mbunge kwa sababu hapendi kusema uongo, hawezi kusema 1+1 jibu ni 3 ama 4 huku akijua kabisa jibu ni 2.
Pia Chalamila amesema sababu nyingine kwa nini ubunge hauwezi ki kwanba wapigakura wana gubu sana, kitu kidogo tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.