matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,718
- 15,695
Hepuka ushauri na kujifunza kwa watu ambao wanafeli mfululizo na muda wote wanapambana kifedha bila mafanikio.
Jifunze kwa watu wanaofaulu kihalali, watu wambao wamejijengea mifumo yenye kuleta ufaulu hata kama hawajasoma. Jifunze nidhamu zao, lugha zao za mwili, namna wanavyoendesha mambo, angalia mifumo yao iige kwa haraka.
Kwa waliofeli kwa consistency ( kimuendelezo) labda ujifunze jinsi ya kuwakwepa na kuepuka mifumo na tabia zao.
Ni hayo tu.
Jifunze kwa watu wanaofaulu kihalali, watu wambao wamejijengea mifumo yenye kuleta ufaulu hata kama hawajasoma. Jifunze nidhamu zao, lugha zao za mwili, namna wanavyoendesha mambo, angalia mifumo yao iige kwa haraka.
Kwa waliofeli kwa consistency ( kimuendelezo) labda ujifunze jinsi ya kuwakwepa na kuepuka mifumo na tabia zao.
Ni hayo tu.