Ukiwa nayo!!!wanasema "AJIRA NI UTUMWA"
Yeah 🙏🏽🙏🏽🙏🏽Be serious broh. The man is in need.
Dah dunia haiko fair kabisa.Mkuu nikionaga nyuzi kama hizi huwa namwelewa sana mtoa Uzi
asante ndugu
natafuta kazi halali mkuuKuna kazi ya kuuza bangi mkuu 😃😃😃
mimi biashara nahisi sio kitu changu.Yaani umeamua uachane kabisa na biashara alafu wanaume wenzako wakuajiri? Na wao wakiamua kuacha kabisa biashara itakuwaje
?
nimeshapoteza muda mwingi nahisi nitajichelewesha sana maana naona ajira ndio itafanya mtaji kuwa stableHutaiweza biashara kwasababu unaiamini elimu yako iendeshe biashara.
Ushauri wangu kwanza jiondoe kweny list ya wasomi halafu sasa njoo kwny Biashara.
Mkuu umeandika Una degree holder sijaelewa hapo ulimaanisha nini, Vumilia tu Mkuu as long as unapata mahitaji muhimu ya Kila siku la msingi kuwa na discipline ya maisha. Fedha na ajira ni tatizo la kidunia hilo.Nipo katika kipindi kigumu cha Maisha kwa sasa ambapo changamoto zimekuwa kubwa sana na zinanibana. Nina degree holder utawala, pamoja na uzoefu na ujuzi katika mauzo, masoko, ukusanyaji wa data, na uandishi wa miradi. Aidha, nina ujuzi kompyuta, na uzoefu wa miaka 7 kwenye kazi na rekodi nzuri.
Kwa miaka 9 iliyopita, nimekuwa nikifanya biashara lakini sijaridhika na matokeo. Mara nyingi, biashara inafilisika sasa najikuta nikiumia hasa kwa kuzingatia majukumu yangu kama baba wa familia na nategemewa hivyo nimeamua kuachana kabisa na biashara kwa sasa.
Ndugu zangu, ninawaomba msaada wenu. Kama mdau wa jamii forum, naomba uniunganishe na fursa za kazi ambazo unadhani zinakidhi sifa na uzoefu wangu. Hata kama sijaelezea kila kitu hapa, nina hakika kwamba nina uwezo wa kufanya kazi katika maeneo yanayofanana na ujuzi niliouelezea.
Nipo Dar es Salaam kwa sasa, lakini nipo tayari kufanya kazi popote nchini. Ninajiamini katika kuzungumza lugha ya Kiingereza na Kiswahili vizuri.
Mawasiliano yangu: 0769 055050
Amini unacho kiamininimeshapoteza muda mwingi nahisi nitajichelewesha sana maana naona ajira ndio itafanya mtaji kuwa stable
Huku vijana wakilia hawana kazi hawana Ajira nimeanza kusikia mpaka vijana wa Veta nao wanapaza sauti huku vyuo vya Veta vikiendelea kuongezwaBilashaka anaendelea kulipwa mshahara na posho kwa kodi za waTanzania, huku akitembelea viete taratibu in town😊