johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,191
- 144,237
- Thread starter
- #41
HaijulikaniHivi makonda anashutumiwa kwa kosa gani
HaijulikaniHivi makonda anashutumiwa kwa kosa gani
Wampe ubalozi tu hata wa Sudani Kusini
Mambo anayofanya mbona ni ya umri wa chini sana kwanza yule wanamuita kijana kwa umri wake si kijana tenaMiaka yake ni katiya 40-45 si zaid ya hapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🪑🪑🪑🪑🪑💺💺💺💺🎶🎶🎶🎶🎶📌
Kweli Tanzania tumechoka, yaan tunajadili alichosema mlevi Hando.Mchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa nchini Gelard Hando amesema Paul Makonda akikutwa na hatia kwenye Kikao Cha Maadili CCM atafukuzwa Kazi ya Mkuu wa mkoa
Hii ni kwa mujibu wa Katiba, amesema
Source: WASAFI FM
Pia soma RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa
Walevi huongea walichotumwa bila kuedit 😄😄🔥Kweli Tanzania tumechoka, yaan tunajadili alichosema mlevi Hando.
Hando cha pombe alisomea chuo gani,uandishi wa habari? Au ameajiliwa kwa ajira chefuchefu. Hana hata certificate. Lakin anajadiliwa utafikiri ni professional.Mchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa nchini Gelard Hando amesema Paul Makonda akikutwa na hatia kwenye Kikao Cha Maadili CCM atafukuzwa Kazi ya Mkuu wa mkoa
Hii ni kwa mujibu wa Katiba, amesema
Source: WASAFI FM
Pia soma RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa
Wewe na Vyeti vyako uko mitandaoni na ID fake 😄😄😂Hando cha pombe alisomea chuo gani,uandishi wa habari? Au ameajiliwa kwa ajira chefuchefu. Hana hata certificate. Lakin anajadiliwa utafikiri ni professional.
Umesema kweli, lakin mbona toka 1961 hatuna maendeleo? Hiyo ni kwa sababu ya kuongozwa na wasio na elimu na uelewa.Kumbuka mwaka 1961 tulikuwa sawa na South Korea kiuchumi. Lakin kwa sasa tupo nyuma sana. Hii yote ni kwa kuwa na machawa wengi kama nyie mnashabikia kina Hando, Liquid, kina Steven Nyerere na wapumbavu wengi. Tunashabikia siasa hewa, hatuwezi kuwa na technology wala innovation yeyote.Wewe na Vyeti vyako uko mitandaoni na ID fake 😄😄😂
Elimu siyo kila kitu bali Maarifa ndio Maisha 🐼
Mchambuzi wa nini jamani tusiwape watu umahiri wa bureMchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa nchini Gelard Hando amesema Paul Makonda akikutwa na hatia kwenye Kikao Cha Maadili CCM atafukuzwa Kazi ya Mkuu wa mkoa
Hii ni kwa mujibu wa Katiba, amesema
Source: WASAFI FM
Pia soma RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa
actually that one,Wampe ubalozi tu hata wa Sudani Kusini
Maana daahUlimi ni kiungo kidogo sana lakini huponza kila kitu 😂😂😂
Mtu anavumiliwa lakini hata kubadirika hataki bora wamuondoe tu ili kuleta heshima kwenye chama na iwe fundisho kwa wengine ambao hawawezi kudhibiti ndimi zao.
Maendeleo ni namna Wewe unavyopima na Siyo lazima ujilinganishe na MarekaniUmesema kweli, lakin mbona toka 1961 hatuna maendeleo? Hiyo ni kwa sababu ya kuongozwa na wasio na elimu na uelewa.Kumbuka mwaka 1961 tulikuwa sawa na South Korea kiuchumi. Lakin kwa sasa tupo nyuma sana. Hii yote ni kwa kuwa na machawa wengi kama nyie mnashabikia kina Hando, Liquid, kina Steven Nyerere na wapumbavu wengi. Tunashabikia siasa hewa, hatuwezi kuwa na technology wala innovation yeyote.
Siasa uchwara 😄😄🔥Mchambuzi wa nini jamani tusiwape watu umahiri wa bure
Branch manager na New CEO wa kampuni lao moja. Nyie hangaikeni tu baada ya kazi wanagonga mvinyo pamoja. Hakuna wa kumfanya chochote maana yeye na CEO ni dam dam. Kwani hamjawahi sikia kuwa kama sio Branch manager kumpigia debe kwa Mr. Born in town ili huyu New CEO awe assistant CEO wa the late CEO asingekuwa CEO sasa. Hapo utamwambia nini new CEO kwa huyu Branch Manager hata kama ni mtukutu na mkorofi kiasi gani.Mchambuzi maarufu wa masuala ya Siasa nchini Gelard Hando amesema Paul Makonda akikutwa na hatia kwenye Kikao Cha Maadili CCM atafukuzwa Kazi ya Mkuu wa mkoa
Hii ni kwa mujibu wa Katiba, amesema
Source: WASAFI FM
Pia soma RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa
Naona kapewa “mapumziko” kusubiri maamuzi ya Mamlaka ndani ya chama ……inaonekana kwenye hili mtetezi wake pekee ni mwenyekiti….wote waliobaki washaweka wazi msimamo wa kutoweza Kufanya Nate Kari, a test kwa mwenyekitiAmeaingizia baraza mawaziri ( chombo kikuu cha Rais) amewapa tuhuma za uhaini kwa Rais....
Usimuone Kobe juu ya mti ukamchukulia poa 🐼🔥Gerald na umaarufu upi wa kuchambua!? Hivi mkuu unaelewa watu wa chambuzi wa kisiasa au unampa Kiki tu mtu ambaye hata asitaili!? Hebu kuwa serious basi na unachoongea..