BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,448
- 8,266
Mtangazaji wa kipindi cha Good Morning cha Wasafi FM, Gerald Hando amesema asilimia 99 ya Watanzania wanaoongelea suala la Ubinafsishaji wa Bandari hawajui chochote kuhusu suala hilo na wengi wao ni Maamuma au Mbumbumbu.
"Asilimia 99 tena naitamka kwa kujiamini kabisa, hata ikiwemo mimi, tunaozungumzia huu mkataba ni mambumbumbu kwenye eneo hilo, kabisa kabisa. Ni watu weupeeee. Ni watu wa kulishwa maneno tu na kuyarudia kama recorder. Ni tahari sana"
Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla amesema kwa watu waliosoma Cuba (kama yeye) kupinga mkataba wa DP World ni propaganda tu kama zilivyo propaganda zingine na CCM inafanya jambo zuri kujieleza maana uongo ukiachwa hugeuka kuwa ukweli.
"Asilimia 99 tena naitamka kwa kujiamini kabisa, hata ikiwemo mimi, tunaozungumzia huu mkataba ni mambumbumbu kwenye eneo hilo, kabisa kabisa. Ni watu weupeeee. Ni watu wa kulishwa maneno tu na kuyarudia kama recorder. Ni tahari sana"
Aidha, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Amos Makalla amesema kwa watu waliosoma Cuba (kama yeye) kupinga mkataba wa DP World ni propaganda tu kama zilivyo propaganda zingine na CCM inafanya jambo zuri kujieleza maana uongo ukiachwa hugeuka kuwa ukweli.