TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,947
- 10,794
Vibaraka mbatumwa kuja ku- test upepo wa jamii humu?
Na warabu wenyewe wakiwa wanasimamia bandari yao kwa njia ya Bluetooth, au vipi? 😆
Nguvu ya umma itumike kukidosha Chama Chakavu na serikali yakeVibaraka mbatumwa kuja ku- test upepo wa jamii humu?
DP-WORLD ikiingia Bandarini na CCM ndio itatokea nchi kavu Tanganyika kuingia Kaburini.
Mtu msafi hawezi kumiliki CHAWA.Habari njema sana hii.
Nguvu ya umma itumike kukidosha Chama Chakavu na serikali yake
CCM ya sasa sio kama ile ya Nyerere, hata TEC hawapendezwi nayoTEC hawawezi kuwa tayari kuiona CCM inaanguja hata siku moja maana ni chama kinachoweza kulinda maslahi ya kanisa Cathoric na ni ngumu kukiamini chama kingine.
Ni watanzania pekee kwa nguvu moja na akili moja bila mashinikizo yakipumbavu nyuma ya pazia bali dhana ya dhati kwenye mioyo yao kuitetea Tanzania yao.
Hujatueleza kama hao DP World wanaokuja ndio wale wale wa IGA; pamoja na kwamba umejitahidi kutufafanulia ni akina nani wahusika na DP World unayoizungumzia wewe.
Kwa hiyo wewe ukiwekewa TEC na DPW unachagua DP W wakati ulikuwa huungi mkono.Nilikuwa siungi mkono suala la DP world lakini upumbavu wa TEC umenifanya niiunge mkono Serikali.
Serikali haipaswi kubadili maamuzi yake kwa mashinikizo na vitisho kutoka kwenye vikundi vya dini.