DP World kuanza kuendesha bandari ya Dar es Salaam tarehe 01 Novemba 2023

Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
Vibaraka mbatumwa kuja ku- test upepo wa jamii humu?
DP-WORLD ikiingia Bandarini na CCM ndio itatokea nchi kavu Tanganyika kuingia Kaburini.
 
Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
Na warabu wenyewe wakiwa wanasimamia bandari yao kwa njia ya Bluetooth, au vipi? 😆
 
Nguvu ya umma itumike kukidosha Chama Chakavu na serikali yake

TEC hawawezi kuwa tayari kuiona CCM inaanguja hata siku moja maana ni chama kinachoweza kulinda maslahi ya kanisa Cathoric na ni ngumu kukiamini chama kingine.

Ni watanzania pekee kwa nguvu moja na akili moja bila mashinikizo yakipumbavu nyuma ya pazia bali dhana ya dhati kwenye mioyo yao kuitetea Tanzania yao.
 
TEC hawawezi kuwa tayari kuiona CCM inaanguja hata siku moja maana ni chama kinachoweza kulinda maslahi ya kanisa Cathoric na ni ngumu kukiamini chama kingine.

Ni watanzania pekee kwa nguvu moja na akili moja bila mashinikizo yakipumbavu nyuma ya pazia bali dhana ya dhati kwenye mioyo yao kuitetea Tanzania yao.
CCM ya sasa sio kama ile ya Nyerere, hata TEC hawapendezwi nayo
 
Kelele za Watanganyika kulilia dhidi ya mkataba mbovu wa bandari, hazijasikilizwa na DP WORLD wanaingia rasmi ofisini tarehe 01 November.

Watu walikuwa wanadhani watendaji wa DP WORLD ni Waarabu, hapana, kuna Wazungu, Wahindi, Wafilipino na watu weusi.
Hujatueleza kama hao DP World wanaokuja ndio wale wale wa IGA; pamoja na kwamba umejitahidi kutufafanulia ni akina nani wahusika na DP World unayoizungumzia wewe.

Huyo DP World wa rangi yoyote ile, bila ya IGA anayoambatana nayo, huyo tunaweza kukabiliana naye baada ya kuwashughulikia hawa watwana wao waliotaka kutuuza huko utumwani.
 
Back
Top Bottom