mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,262
- 36,602
Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka .
Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko mitandaoni lakini baada ya ile hotuba watu wengi walianza kufuatilia ,hayo matusi dhidi ya mama huko mtandaoni,hali iliyozodi kumdhalilisha mama yetu.
Watu wengi hawakujua kinachoendelea ni mpaka alipowaamsha .
Inasemekana hata mama hakupendelea ile hotuba itolewe mbele yake maana ilikuwa ni kumdhalilisha Rais badala ya kumlindia heshima yake.
Umuhimu wa Elimu isiyo na makandokando unaonekana sasa.
Pia soma
- RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa
Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko mitandaoni lakini baada ya ile hotuba watu wengi walianza kufuatilia ,hayo matusi dhidi ya mama huko mtandaoni,hali iliyozodi kumdhalilisha mama yetu.
Watu wengi hawakujua kinachoendelea ni mpaka alipowaamsha .
Inasemekana hata mama hakupendelea ile hotuba itolewe mbele yake maana ilikuwa ni kumdhalilisha Rais badala ya kumlindia heshima yake.
Umuhimu wa Elimu isiyo na makandokando unaonekana sasa.
Pia soma
- RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa