kisepi
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 2,065
- 987
Wengi walikua hawajui kinachoendelea mitandaoni lakini baada ya makonda kusteal the show kwenye kumbukizi ya hayati sokoine ndo wakaanza kufuatilia hayo matusi, ni kama alichangia watu wajue ni matusi gani hao mawaziri wanalipa watu kumtusi raisi,zero brain ni zero tu,