Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,767
- 3,842
Mtu wa pwani asiwe na dini hiki ni kichekesho 😆😆😆Sina dini
Mtu wa pwani asiwe na dini hiki ni kichekesho 😆😆😆Sina dini
Bado 'jumatatu' haijafika.....Duh
Hao Mawaziri watukanaji aliwataja? Maana hilo ndio muhimu Ili waadhibiwe
Naomba kwanza hayo maelekezo ya Mungu kwa mwanaume kuwa Imamu.nimekuuliza unadhani kwanini Mungu hajaruhusu mwanamke awe imamu?
Kwasababu Mungu alimuumba mwanaume amtawale mwanamkeNaomba kwanza hayo maelekezo ya Mungu kwa mwanaume kuwa Imamu.
IT specialist Tanzania hii? Hao wanachojua ni kupiga windows na ku install anti-virus tu. Halfu sasa kwenye dunia ya sasa ambayo watu wanataka uhuru wa habari na maoni kuna groups za Hacktivists kama Anonymous hao wanamdukua yoyote dunia hii kama akiingia kwenye anga zao.sidhani kama balozi anaweza kuchukuwa hatua ya kumshtaki huyo mtukanaji huko marekani. Kwanza matusi yenyewe ni ya kiswahili, halafu kwa Marekani sijui kama inakwenda kwenye udhalilishaji.
Ila hawa ma IT specialists wetu hawawezi kufanya 'wikileak' style wakatoa majina ya wale wanaopeleka umbeya wa aina hiyo huko? Nadhani wakitajwa wawili watatu wengine kidogo watapiga breki.
Nani kakuuliza hiyo “Sababu?Kwasababu Mungu alimuumba mwanaume amtawale mwanamke
Kama sio saudia kwanini waislamu ndio walioruhusiwa kuchinja?Dah ukiwaza hivyo utapotea,hii ni celular state ,hapa sio saudi arabia
Maelezo nitakayokupa kwa lugha nyingine inaitwa sababu ewe msichanaNani kakuuliza hiyo “Sababu?
Nipe maelekezo ya Mungu kwa mwanaume kuwa Imamu wa Msikiti.
Maelezo nitakayokupa kwa lugha nyingine inaitwa sababu ewe msichana
Wameruhusiwa na nani?Kama sio saudia kwanini waislamu ndio walioruhusiwa kuchinja?
Kingunge alikuwa Mkatoliki SafiK
Kawaida mkuu,Kingunge ngombale mwiru kwao mafia sijui kilwa ila ameisho bila kuwa na dini kwa muda mrefu
WanaccmWameruhusiwa na nani?
Wewe ukiwa period unachuma majani ya maboga?Sababu haiwezi kuwa maelekezo.
Ndio nachuma mboga zozote za majani bila kujali niko hedhi ama sipo.Wewe ukiwa period unachuma majani ya maboga?
vyote viwili vinafuatwa wala usijidanganyeWewe unafuata mila au dini?
Kwenye korido za makao makuu ya CCM Dodomana Lumumba,kuna tetesi kuwa kamati ya maadili imemuonya Makonda aache koropoka .
Hiko hivi,watu wengi hawakuwawakijua kuwa mama yetu anatukanwa huko mitandaoni lakini baada ya ile hotuba watu wengi walianza kufuatilia
hayo matusi dhidi ya mama huko mtandaoni,hali iliyozodi kumdhalilisha mama yetu.
Watu wengi hawakujua kinachoendelea ni mpaka alipowaamsha .
Inasemekana hata mama hakupendelea ile hotuba itolewe mbele yake maana ilikuwa ni kumdhalilisha Rais badala ya kumlindia heshima yake.
Umuhimu wa Elimu isiyo na makandokando unaonekana sasa