Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 912
- 4,247
Wafanyabiashara nawaomba tembeeni kifua mbele kwanini ninyi ni matajiri. Ninyi ndio walipa mishahara ya serikali, mnawanunulia viongozi mafuta ya magari, mnawapandisha ndege na kulipa ada za watoto wao.
Kwanini wale mliowaajiri waishi kama wafalme wakati hawana shengeli kama sisi? Tuamke sasa tuache kutembelea mabasi tupande ndege....tuamke sasa tuache kupambana na daladala tununue magari na twende nayo kazini,,,tuamke sasa tuache kula kimaskini tule kitajiri....nk
Hatuwezi kuwaajiri watu then wakawa mabosi zetu, tunachokiburi cha baraka za Mungu katika utafutaji,tunachokiburi cha umoja kama walipa kodi na tunazo kura kama wananchi. Tuanze sasa kujitambua, tudai haki yetu ya kulindwa katika ulipaji kodi na kuheshimiwa na waajiriwa wetu.
Tuache ulimbukeni wakuogopa magari ambayo tumenunua sisi, tuwasimamie waajiriwa hawa waboreshe mazingira ya kazi. Hakuna mfanyabiashara atafukuzwa amekunywa bia ngapi na serikali ila waajiriwa wa serikali watahesabiana vizibo na kuwajibishana kwa sasa hawana ziada.
Kwanini wale mliowaajiri waishi kama wafalme wakati hawana shengeli kama sisi? Tuamke sasa tuache kutembelea mabasi tupande ndege....tuamke sasa tuache kupambana na daladala tununue magari na twende nayo kazini,,,tuamke sasa tuache kula kimaskini tule kitajiri....nk
Hatuwezi kuwaajiri watu then wakawa mabosi zetu, tunachokiburi cha baraka za Mungu katika utafutaji,tunachokiburi cha umoja kama walipa kodi na tunazo kura kama wananchi. Tuanze sasa kujitambua, tudai haki yetu ya kulindwa katika ulipaji kodi na kuheshimiwa na waajiriwa wetu.
Tuache ulimbukeni wakuogopa magari ambayo tumenunua sisi, tuwasimamie waajiriwa hawa waboreshe mazingira ya kazi. Hakuna mfanyabiashara atafukuzwa amekunywa bia ngapi na serikali ila waajiriwa wa serikali watahesabiana vizibo na kuwajibishana kwa sasa hawana ziada.